Teknolojia haipunguzi maisha, inaongeza maisha. Em fuatilia tena vizuri utagundua siku hizi binadamu wanaishi miaka mingi sana kuliko zamani.
Yes sababu its all contradictory bullshit written by assholes and followed by desperate people who have nothing better to do with their lives, same as many other religious books.
huwa najiuliza ile habar ya shetan kushindwa vita mbingun then kutupwa dunian apambane na wanadaamu huwa sielew kabisa.Siwezi sapoti kitu nisichokielewa. Mungu kashindwa kufanya nielewe..ni tatizo lake sio langu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Iris scanner zinatumika. Ni kama fingerprint sema Iris oattern iko safe zaidi coz fingerprint kuzitengeneza ni rahisi kwa baadhi ya watundu wa techNilikua nawaza zile gate za nyumba mwenye nyumba akifika zinajifungua automatic bila control ya mtu inawezekana
kelphin kepph
Kwenye andiko lako umeandika issue inayoelezea kuungana kwa makanisa na ndipo nikakupa NOTE hiyo na kwa kuongezea kuna hii...Sijakuelewa mkuu. Umemaanisha nini?
Sawa sawa mkuu nimekuelewaKwenye andiko lako umeandika issue inayoelezea kuungana kwa makanisa na ndipo nikakupa NOTE hiyo na kwa kuongezea kuna hii...
Daniel 12:4 Lakini wewe, Ee Danielii, yafunge maneno haya, ukakitie muhuri kitabu, hata wakati wa mwisho; wengi wataenda mbio huko na huko, na maarifa yataongezeka.
Unachosema ni sawa lkn mie nilimaanisha mwaka ambapo ML imeanza kutumika practically, na huo ni mda ambapo issue ya data availability haikua tatizo tena.Mkuu machine learning algorithms ziko tokea miaka ya 1990's Tena inaweza ikawa nyuma said kilichokua kinaizuia ni hakukua na data kama Sasa hivi za ku-train model sio kweli kwamba imeanza 2010
Na deep learning ina deal na data ambazo ni picha na text
Kwa tanzania naweza kupata wapi wataalamu wa "gamma-rays"? Kuna project nataka kufanya.Iris scanner zinatumika. Ni kama fingerprint sema Iris oattern iko safe zaidi coz fingerprint kuzitengeneza ni rahisi kwa baadhi ya watundu wa tech
Nakushauri uende kwenye vyuo vya tech hapa nchini mfano DIT au Arusha Ins Of Tech watakusaidia kwa uhakika zaidiKwa tanzania naweza kupata wapi wataalamu wa "gamma-rays"? Kuna project nataka kufanya.