A Journey to the smart world: Ifahamu teknolojia ya Artificial Intelligence na utendaji wake wa kazi

Uzi una makosa mengi lakini sina muda wa kusahihisha. Baadhi ya mambo uliyoandika ndiyo yaliyopelekea watafiti kukataa katakata kuamini au kuyachukulia kwa uzito maandiko yasiyokuwa na rejea na vyanzo vya kuaminika.

Machine haifikirii kama binadamu bali inakuwa "programmed or trained" "kumimic" matendo ya binadamu au "kureact/kurespond" kwa kutegemea "stimuli" katika mazingira husika. Unaweza kupata "glimpse" hapa: Introduction to Machine Learning and TensorFlow With Python
Huu uzi nimekua naufatilia tangu mwandishi kauanzisha lakini nilikua naona hata aibu kuchangia hoja kwa sababu hoja nyingi watu wanaandika na ku-argue kutokana na wanachofikiria na sio kilicho kweli. Mwisho wa siku yule mwenye uwezo wa kusimamia anachofikiria ndio anaonekana kasema ukweli. Ni leo tu nmechangia baada ya kuona mtu fln anarelate AI technology na aliens.

Mada kama hizi inabidi ziende practically na hoja ya mtu ishuke na facts sio kile mtu anachofikiria tu yy akilini mwake
 
Nakushauri uende kwenye vyuo vya tech hapa nchini mfano DIT au Arusha Ins Of Tech watakusaidia kwa uhakika zaidi
Ni Mara elfu akajisomea mwenyewe mimi nimeshaongea na walimu wa hivyo vyuo Kuna vitu vingi hawavijui kuhusu AI na inatokana kuwa ni technologies mpya kwa hy experts ni wachache

Na pia kwenye vyuo vyetu hivi walimu wengi wamesomea ili waheshimike au wapande madaraja, lakin sio kwamba wamesomea ili kupata ujuzi wa kusaidia watu

Watu wenye uelewa wa AI ni wachache na wengi wamejua kwa kujisomea online.
 
safi kabisa mada nzuri sana ila hapo kwenye time travelling hizo bado ni fiction hakuna kitu kama hicho wala hakiwezi tokea na kama wamedai kuwa ipo ni kwa ajili ya kucreate mind complexion to them from the world
Ipo, kuna vyombo vimebuniwa vitakuwa vinasafiri kwa speed ya mwanga. Na baadae watavi advance ili viweze kusafirisha wanadam kwenda sayari zingine. Wanataka kuufanya ulimwengu uwe kama kijiji, dunia walishamaliza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sio kweli
sikia technology ndiyo imeleta issue za Genetically (GMO), issue za artificial foods ambazo zmepelekea kuongezeka kwa magonjwa ya kila aina

Sent using Jamii Forums mobile app

GMO hazina matatizo yoyote kiafya, baadhi ya GMOs ni mbaya kwa mazingira ila sio afya ya binadamu. Tatizo mnasikia story za watu ambao wanahisi mambo hawaji na evidence yoyote kusupport wanachokisema.

Magonjwa duniani hayajaongezeka bali yamepungua sijui data zako unatoa wapi, tumetokomeza magonjwa mengi mno ambayo huyasikii tena ambayo zamani yaliua watu wengi sana, siku hizi mtu anapewa chanjo kama 15 hayo magonjwa hawezi yapata tena. We sijui magonjwa gani unayosema yameongezeka.

Tunataka data sio vitu mmefikiria tu ovyo alfu mnatamka,real data inasema tofauti
 
General AI mkuu bado ni Alien level technology, very hard to archive. Yaani chukulia AI roboti anayeweza kutenda kazi kama binadamu, haiwezekani labda utokee msiba huko mbinguni.
 
sayansi na teknolojia ni akili pevu ya magreat thinkers, ndo maana ukiwa si great thinker ni rahisi gunduzi mbali mbali kua haziwezekani mpaka kuwe na connection na mambo ya kiroho

nb: ukitaka ijua dunia vizuri kua mtu wakufikiria sana na si ku-assume tu mambo baada yakufikiria kidogo

kila mtu ni genius ikiwa atajikita ktk kuyafikiria mambo kwa kina zaidi, hili nimelithibitisha mimi baada yakua nayafikiria mambo ya ulimwengu wetu kwa kina zaidi
 
Graph, i wish nkuwekee link ya hao so called "Secret soCiEtY" ili usome na ujue maana ya hizo unazoziita chanjo"

Sent using Jamii Forums mobile app
Usipoteze muda wako kunipa link za conspiracy theories, we kila kilichoandikwa kwenye internet unakichukulia kama universal truth?

Labda nikushauri tu, soma sana, ukiwa smart huu ujinga wote utaondoka.
 
114 Reactions
Reply
Back
Top Bottom