AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
"Liawalo na liwe" lol..! Hii serikali ni noma.
"Ndugu zangu,
Najaribu kutuliza mawazo ili angalau niweze kuwapa kidogo tulipofikia na tunakoelekea juu ya suala hili. Kwa kweli haivumiliki ukimwona ulimboka kwa jinsi alivyotendewa na hali aliyonayo; kwa wale wanaojua hali za kitabibu, "this is a very unstable condition that demands permanent watch 24/7".
Kwa taarifa tulizokusanya, ulimboka na mwenzake waliitwa na Afisa mmoja (Jina linahifadhiwa) ili kuzungumza mambo (fulani) na wakiwa wanaendelea na mazungumzo bila kuwa na mwelekeo wa muafaka, jamaa akawasiliana na watu (fulani) kwa simu. Ghafla wakajitokeza "ASKARI" wakawataka yule (Afisa) na Dr (aliyeongozana na Ulimboka) waendelee na shughuli zao na kuwambia "Tunamtaka huyu". Wakatumia nguvu, wakamburuta na kumtia kwenye gari jeusi na kuondoka naye wakidai wanampeleka Polisi.
Huku wakiwa wanamtesa, walimlazimisha mambo kadhaa (kwa sasa tusiyataje) wakaenda naye asikokujua, wakampiga sana kwa ngumi, mateke na magongo na wakati mwengine wakitumia Bunduki zao. Wakiwa wanampiga pia walikuwa wakisema kuwa amewatesa/wasumbua sana na kuwa anajifanya mjanja mbele ya (Srk) na hivyo wanamalizana naye; akapoteza fahamu...
Wakamtupa eneo la mapori huko Tegeta hadi alipookotwa na wananchi asubuhi na kukabidhiwa mikononi mwa Wanaharakati waliompeleka Hospitali Muhimbili.
Wakati akipokelewa MOI tayari baadhi ya wanaharakati walishafika eneo lile, kumbe kati ya walimpokea alikuwamo kijana anayesadikiwa kuwa ni "Askari". Huyu aligundulika baada ya mda mfupi akiwa amejificha chooni akiwasiliana kwa simu na watu aliokuwa akiwaambia " Hajafa. Bado anahema.... na maneno mengine yaliyoashiria kuwa waliofanya 'kazi' ile hawakukamilisha 'maagizo'. Vijana wakamfundisha adabu kwa hasira na kumkuta akiwa na Redio Call, ambayo baada ya muda mfupi Polisi FFU walifika na gari na vifaa vya vurugu wakiisaka ile Radio.
Nashindwa kuendelea....."
NB: Haya ni maelezo ya mwanaharakati Albanie Marcossy aliyehusika kumsaka kama nilivyoyanukuu Mabadiliko Group.
Ndugu zetu wangapi wamepoteza maisha katika mgomo wa kwanza mbona hukusema kitu, leo Uli unajifanya kuongea sana, acha unafiki wa mawazo.
Kama huamini kuna serikali na uwe wa kwanza kuingia barabarani wengine tutajifunza kutoka kwako
umetumwa??? Umelogwa??? Unafake unajivunja mbavu??? Hivi watu kama nyinyi huwa mnaishi wapi?? Ungekuwa karibu yangu maji ya mto kwenye oblangata yako yangehusika! Hebu nenda kaongee na wakina gerald hando na mwenzio kibonde labda mna umbeya mwaweza ongea!if they wanted him dead, he'd be dead by now, na mngekuwa mnaongea mambo mengine kabisa.......probably, they still need him for something..........the big question is wat is it??
And kimtazamo wangu, 1st, wat has bin done to him isnt fair, unless, he(ulimboka) framed it....najua kwa hili, wengi mtanilaumu, but mkisoma stories nyingi kama hizi, mtaona, ulimboka hatokuwa wa kwanza, kufake something like this, but for good reasons..............cause, seriously, kama wangetaka afe, angekufa longtym........
2dnly, killing one person for the benefit of two or more people, i find it reasonable................
kauli tata ya "liwalo na liwe" imeanza kufanya kazi kabla
eliza sweetherat hawezi ku-think coz akili yake imelewa u.j.i.n.g.a wa chama cha machangu!unajitoa akili kwa kuwabebesha madaktari lawama huku ukijua wazi muhusika mkuu wa kadhia hii....roho za waliopoteza maisha pamoja na damu ya ulimboka na maumivu yake na watanzania yako juu ya serikali ya ccm.
Ulipopiga kura uliingiza jina la dr ulimboka kwenye ballot box au jina la dr yoyote for that matter. Think
wewe kama ni mwanaume ni hasara kwa nchi hii, huna faida! Na kama ni mwanamke, beba ujasiri tuliojaliwa wa kuleta binadamu duniani tuwapo labour, tetea nchi yako! Acha uoga!kama huamini kuna serikali na uwe wa kwanza kuingia barabarani wengine tutajifunza kutoka kwako
Mimi nadhani ingekuwa busara mheshimiwa kiongozi wa madaktari Dr Ulimboka ajiuzulu mara moja kwa sababu wakati anafanya mazungumzo na hao jamaa kama alizungumza nao kama mwakilishi wa madaktari bila kupata idhini ya chama cha madaktari ni makosa makubwa!!