Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,430
Usalama wa Taifa sasa umegeuka kuwa JANGA LA TAIFA
...wanajua Watanzania wengi ni wasahaulifu, punde tatasahau, watafanya mabaya zaidi...
Kesho nasi tutawajibu kwa vitendo kwa maandamano liwalo na liwe madaktari mjitokezi saa tatu nyuma ya chuo cha ustawi wa jamii
polisi waangalie record ya simu ni nani aliyemuita Dr usiku ule!kisha Wamuanike mnazi mmoja tumchinje
Mkuu kwa mujibu wa Kijo Bisimba jina ya huyo jamaa ni Abeid ni kweli amesema ni afisa wa Ikulu
Kweli Jasusi hawa jamaa wanaiga mambo ya nyang'au wa Kenya walipomuua J.M. Kariuki na kumtupa kwenye msitu wa Ngong!!Hii hatari sana kwa Tanzania inaelekea amani ndio inatoweka sasa!They are turning the country into killing fields.!!
kuna kila dalili za Uhusika wa Serikali Dhaifu, Muhimu tumwombee Dr Ulimboka Apone haraka, Mungu ni mwingi warehema atamponyesha na A2Z zitakuwa wazi
angekuwa ndg yako ungesema hivyo.
MAFIA Type of operation.
Sijui kama unajua unaongelea usalama wa Tanzania,hawana ufahamu huo unaoufikiria wewe na wala hawawezi kuwaDaah yaani ikulu ihusike na upuuzi huu huyu dr ni kainzi tu na hii cyo move ya serikali jamani mko dunia gani nyie cku hz kuna teknolojia km serekale ingetaka kumuondoa kiulaiiiniii angeondoka na ingekuwa poa tu mnaleta za abunuasi hapa