A day spent well with my bloods..

A day spent well with my bloods..

Jana nimeambiwa na maza kwamba walienda hadi kwa Makonda na wanataka wakianzishe tena,
Mimi nikasema vyema kabisaa, wakinukishe tena kwasababu yale Makelele yanaweza kumuua jirani yangu Mama Mutafungwa.
Ha ha ha ha mwenye Buckets nae si jirani yenu pia? Najua walifungiwa, wakapigwa zengwe lingine la risiti. BTW kuna joints nyingi around there why Buckets only?
Nilisoma barua ya kufungiwa kwao pamaoja na kelele sababu nyingine ilioandikwa ni 'machangudoa' seriously machamgudoa wa barabarani wanamuhusu nini mwenye Bar ?
 
Ha ha ha ha mwenye Buckets nae si jirani yenu pia? Najua walifungiwa, wakapigwa zengwe lingine la risiti. BTW kuna joints nyingi around there why Buckets only?
Nilisoma barua ya kufungiwa kwao pamaoja na kelele sababu nyingine ilioandikwa ni 'machangudoa' seriously machamgudoa wa barabarani wanamuhusu nini mwenye Bar ?

Shida ni Perpetual Nuisance kwenye mtaa wetu!
Kama yule mama Mtafungwa jirani pale alisema anapata shida hadi mchana watu wanapiga makelele tu!
 
mtu kapiga picha alafu kaweka na hela mezani mi naonaga kama dizaini flani ya ulimbukeni hivi.hela zenyewe unakuta zakukaa kwenye wallet sasa sjui kulikuwa kuna haja gani ya kuziweka mezani.eniwei ni mambo ya vijana.

Huna hela....stress zinaweza kukutanguliza mbele za haki...wacha watu wa enjoy....

20140817_192913.jpg
 
Back
Top Bottom