Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,391
- 88,767
Bahati nzuri mi mchoyo sina chiu wa kuwapa watu wafanyie mazoezi la sivyo na wale wangeshanivuruga muda mrefu sana.Sio labda....hata mimi ukileta msosi mzuri hata kama nimeshiba nitaonja tu.
Bahati nzuri mi mchoyo sina chiu wa kuwapa watu wafanyie mazoezi la sivyo na wale wangeshanivuruga muda mrefu sana.Sio labda....hata mimi ukileta msosi mzuri hata kama nimeshiba nitaonja tu.
Uchoyo sio tabia nzuri, kitu umepewa bure kwanini ufanye uchoyo?Bahati nzuri mi mchoyo sina chiu wa kuwapa watu wafanyie mazoezi la sivyo na wale wangeshanivuruga muda mrefu sana.
Sasa siwezi kumpa kila mtu hasa mtu ambae najua hata nikimpa hatajali kama nilimpa.Uchoyo sio tabia nzuri, kitu umepewa bure kwanini ufanye uchoyo?
Hivi unajua bado sijakata tamaa? Hebu njoo kwanza PM tuendelee pale tulipoishia.Mh
Utaonjaje na umeshiba au ndio unataka kulazimisha ipepewe
Sasa huyu si ndio mzuri maanake hata kusumbua tena?!Sasa siwezi kumpa kila mtu hasa mtu ambae najua hata nikimpa hatajali kama nilimpa.
Hahahahh si unajuwa ninavyokuogopa kama wewe unavyomuogopa mziguaHivi unajua bado sijakata tamaa? Hebu njoo kwanza PM tuendelee pale tulipoishia.
Kwani nampa asinisumbue au tule raha. Mi natakaga nikimpa mwanaume nimpe na kesho na kesho kutwa maana mpaka nikimpa aiseee ujue nimemuelewa kweli. Mambo ya kuonjana halafu kesho nakua kama mademu zako wengine hapana.Sasa huyu si ndio mzuri maanake hata kusumbua tena?!
Aiseee, leo ngoja niende mitaa fulani nikatafute kitu moja hivi......baada ya hustling hustling sioni ajabu, kujimix na wanangu ndo zangu nisahau tabu...
Kwanza mi namtaka huyo naona anaruka ruka tu kwa madai ananiogopa. Hajui nikiwa wake ntakua mwema hata 777 sitapaenda.Hahahahh si unajuwa ninavyokuogopa kama wewe unavyomuogopa mzigua
Leo nimeweka wazi mimi maneno matupu.Hahahahh si unajuwa ninavyokuogopa kama wewe unavyomuogopa mzigua
Mkuu mlipomaliza kula kiti moto
1.mlihama meza kutoka ya kioo hadi ya plastic
2.mlibadili bia kutoka heineken hadi windhoek
Naona Euro € 50/50 hapo hadi kuzimaliza hizo si mlitambaa?
Hilo gheto hapo kwenye avatar nalijua....sasa sijui ni wewe huyo?Kwanza mi namtaka huyo naona anaruka ruka tu kwa madai ananiogopa. Hajui nikiwa wake ntakua mwema hata 777 sitapaenda.
Kwanza sio mimi halafu hata sijui ni wapi hapo.Hilo gheto hapo kwenye avatar nalijua....sasa sijui ni wewe huyo?
Kwani wamefungiwa tena?Nimerudi jana usiku nikapewa habari za Buckets,
Nimecheka sana sanaaa. Walizidi makelele watu hawalali......!
Mbona wameshafunguliwa ijumaa watu walikula bata pale kama kawaida.Nimerudi jana usiku nikapewa habari za Buckets,
Nimecheka sana sanaaa. Walizidi makelele watu hatulali......!
Leo nimeweka wazi mimi maneno matupu.






Wakunyumba na me nataka awe shemeji yanguKwanza mi namtaka huyo naona anaruka ruka tu kwa madai ananiogopa. Hajui nikiwa wake ntakua mwema hata 777 sitapaenda.
Nisaidie basi kuniombea nafasi. Hata ya siku moja naahidi sitamuangusha.Wakunyumba na me nataka awe shemeji yangu
Mkuu ushaingia mjini? Unajua hio rate yako ya kukwea mwewe 1000s miles inazidi hata akina sisi kufika posta!Aiseee, leo ngoja niende mitaa fulani nikatafute kitu moja hivi...
