GIUSEPPE
JF-Expert Member
- Dec 31, 2011
- 5,239
- 6,240
Anakula masiha na nyama ya mdudu nusu kilo na ndizi mbili, kisha anasema hapo yupo na wana, wanalamba maisha au wanakula maisha? NA huto tu bia twa watoto wa chuo? Na viji Euro mezani?Maisha ndo haya haya.. Kula maisha

