Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,011
- 9,879
Waongo, matapeli wakubwa, sisi Mbezi Makabe, Msumi kote huko hakujawahi kuwa na maji ya DAWASCO toka kuumbwa misingi ya ulimwengu.Sio mimi, hiyo ni ripoti ya NBS ya 2020/21 imeonesha wakazi wa Dar wanapata maji safi na salama ndani ya mita 500 tu. Usiniulize kuhusu mabowser au wauza maji wanaozurura na matorori, nazungumzia kilichooneshwa.
View attachment 2418458
HAWA WAPO MITAA 100 TU NA BADO WANAHANGAIKASio mimi, hiyo ni ripoti ya NBS ya 2020/21 imeonesha wakazi wa Dar wanapata maji safi na salama ndani ya mita 500 tu. Usiniulize kuhusu mabowser au wauza maji wanaozurura na matorori, nazungumzia kilichooneshwa.
View attachment 2418458
Katika Suala la Maji, Hakuna sehemu ngumu kuishi kama Mbezi Makabe na Msumi! Samahani lakini Mkuu, Maisha popote au siyo? UsinipopoeWaongo, matapeli wakubwa, sisi Mbezi Makabe, Msumi kote huko hakujawahi kuwa na maji ya DAWASCO toka kuumbwa misingi ya ulimwengu.
Mpaka 2025 tutafika tumechoooka sanaSio mimi, hiyo ni ripoti ya NBS ya 2020/21 imeonesha wakazi wa Dar wanapata maji safi na salama ndani ya mita 500 tu. Usiniulize kuhusu mabowser au wauza maji wanaozurura na matorori, nazungumzia kilichooneshwa.
View attachment 2418458
Dunia inajua hatuna shida ya majiNBS Hawa, wa helicopter ya matangazo NI🚮
Hao maccm ni mabingwa wa kutoa taarifa za uongo🥺Sio mimi, hiyo ni ripoti ya NBS ya 2020/21 imeonesha wakazi wa Dar wanapata maji safi na salama ndani ya mita 500 tu. Usiniulize kuhusu mabowser au wauza maji wanaozurura na matorori, nazungumzia kilichooneshwa.
View attachment 2418458
Bwashe Mbezi Makabe sijui Msumi siyo Daslaam. Tusichanganye habari, tuwe makini tunapotaja Dar es Salaam. Samahani kama nimekukwaza, lakini msema ukweli ni mapenzi wa Mungu. Au nasema ndugu zangu?!Waongo, matapeli wakubwa, sisi Mbezi Makabe, Msumi kote huko hakujawahi kuwa na maji ya DAWASCO toka kuumbwa misingi ya ulimwengu.
Kwani NBS wamekwambia ni maji ya dawasco tu?Waongo, matapeli wakubwa, sisi Mbezi Makabe, Msumi kote huko hakujawahi kuwa na maji ya DAWASCO toka kuumbwa misingi ya ulimwengu.
Aliyeleta taarifa hii ana upungufu wa akili; ajivue uongozi kwa muda kisha aended kuishi uraiani ili aonje madhila ya ukosefu wa majiSio mimi, hiyo ni ripoti ya NBS ya 2020/21 imeonesha wakazi wa Dar wanapata maji safi na salama ndani ya mita 500 tu. Usiniulize kuhusu mabowser au wauza maji wanaozurura na matorori, nazungumzia kilichooneshwa.
View attachment 2418458