Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,279
- 105,481
kwamba jamii zetu kwa kiasi kikubwa zina watu ambao hawakupata bahati ya kwenda shule vizuri; lakini wamekuwa wanachagua viongozi wenye elimu watatua matatizo yao; lakini viongozi hawa wamekuwa wanawaangusha; hivyo bora wajirudi na kuchagua viongozi wanaofanana nao kielimu, na kwa pamoja pengine watafanikiwa kujiletea maendeleo; it can definately work, but i don't believe in that school of thought;
That is far from my meaning.
My meaning is simple.
Do not equate "education" with "degree".