Mchambuzi
JF-Expert Member
- Aug 24, 2007
- 4,850
- 9,405
Suala la msingi la kikatiba ni kutoa fursa sawa kwa kila mwananchi bila ya ubaguzi wa aina yoyote. Iwe kwenye kuongoza au kuongozwa.
Unapoweka vigezo vya elimu ya shahada kwa mfano, ni sawa na wewe kusema hata mtu awe na uwezo kiasi gani na awe amepeleka maendeleo kiasi gani kwa wananchi wake, madamu hajarasimishwa kwa kutumia elimu ya Mzungu, basi huyo hafai.
Hii inapingana na hata kanuni za msingi za utaratibu wa utawala kwenye jamii za Kiafrika.
Sawa mkuu, kama ni hivyo basi tuache tu Ndege wanaofanana WARUKE pamoja.