Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,052
- 71,332
Ninachoendelea kukiona Bungen ni kile nilichowahi kusema humu, Asilimia Kubwa ya Wabunge wetu aisee ni Vilaza sana, na pamoja na ukilaza, wengi wao ukilaza unawafanya wamchukie yule mtu ambaye anaonekana ni Mwenye Upeo mkubwa.
Jamani Ndugu zangu Wabunge, Kua Mbunge sio kupiga makofi, sio kusema ndiooo, sio kuunga hoja tu, sio makofi.
Mnakua wa ajabu mpaka basi, Hapo akisimama mbunge alete hoja ya Kijinga jinga sasa, nikama vile kawakuna, mnafurahiii weeee na makofi juu.
Ila kwakua Mpina anaongea vitu msivyovielewa, na hamuelewi kitu, wengi wenu mmeishia kumchukia na kumuona kama anayeharibu!
Hili ndio Bunge, tunalotegemea liisimamie Serikali 😂😂!!
Jamani Ndugu zangu Wabunge, Kua Mbunge sio kupiga makofi, sio kusema ndiooo, sio kuunga hoja tu, sio makofi.
Mnakua wa ajabu mpaka basi, Hapo akisimama mbunge alete hoja ya Kijinga jinga sasa, nikama vile kawakuna, mnafurahiii weeee na makofi juu.
Ila kwakua Mpina anaongea vitu msivyovielewa, na hamuelewi kitu, wengi wenu mmeishia kumchukia na kumuona kama anayeharibu!
Hili ndio Bunge, tunalotegemea liisimamie Serikali 😂😂!!