Viongozi wa Dini Wanasema: "Wabunge wetu hawategemei Kura za wananchi ndiyo Maana hawana heshima"

The Burning Spear

JF-Expert Member
Dec 23, 2011
3,445
8,299
Hii Ngoma bado mbichi kabisaa Maana viongozi wa Dini wamesema wameiskilza Serikali ila Wao watatoa matamko Yao baadae.

Lakini hoja zao zimeonekana zenye akili na uelewa wa Juu wa mambo haya tofauti na wabunge wetu..

wanasema wabunge walio wengi hawategemei Kura, wanaamini iwe jua au mvua lazima wawe wabunge Kwa hIyo lolote wanaweza kupitisha Maana hawana hofu na mtu yoyote...

kiufupi hoja za viongozi wa Dini zinaonyesha hatuna Bunge,. Hata waliopo wamejaa ujinga na dharau hawaheshimu wananchi Hata kidogo
 
Hii Ngoma bado mbichi kabisaa Maana viongozi wa Dini wamesema wameiskilza Serikali ila Wao watatoa matamko Yao baadae.

Lakini hoja zao zimeonekana zenye akili na uelewa wa Juu wa mambo haya tofauti na wabunge wetu..

wanasema wabunge walio wengi hawategemei Kura, wanaamini iwe jua au mvua lazima wawe wabunge Kwa hIyo lolote wanaweza kupitisha Maana hawana hofu na mtu yoyote...

kiufupi hoja za viongozi wa Dini zinaonyesha hatuna Bunge,. Hata waliopo wamejaa ujinga na dharau hawaheshimu wananchi Hata kidogo
kiufupi hoja za viongozi wa Dini zinaonyesha hatuna Bunge,. Hata waliopo wamejaa ujinga na dharau hawaheshimu wananchi Hata kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii shida ameleta jpm aliwangiza wabunge wadarasa lasaba wakina msukuma hiviunagikili ndiowatakuwa vingozi wazuri elimu yadarasa lapili
 
Back
Top Bottom