30 - 36 years old: An Official Thread

Msamehe (huyo bi mkubwa) ili ufanikiwe zaidi
 
Maisha haya, basi mkitoboa 40+ unaweza kudhani you did nothing in your 20s and 30s.

Muhimu tupambane tu, tusikate tamaa coz maisha ni mapambano from the moment unazaliwa hadi unafukiwa.

Kitu cha msingi ni kuhakikisha uzee wako(kama utaupata) usiwe wa shida na kuombaomba.
 
Thanks boss, kuna watu wako very sensitive, wana over raeact na kila jambo pasipo kuelewa.
 
Maisha hayana formula kabisa,kuna mtu kapata mafanikio kwenye 25 to 40 kafa au kafilisika,kuna mtu kapata mafanikio kwenye 40 na bado hadi leo yupo anakula maisha! Siku unakufa ndiyo siku yako ya mwisho hapa duniani,pambana
 
Formula ya dunia inatutesa sana! Kwamba ukifika umti fulani inabidi uweje...
Tungekua tunajitengenezea formula zetu maisha yangekua fresh tu.....
Kwa dunia yetu hii umri ukianza kusogea tunatengeza hofu kuliko malengo yetu !
Anewei ngoja tufike uko tujue kama tunazika au tunasafirisha
 


Kwani lengo hasa la kuwepo duniani ni nini? Je ni kumiliki vitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah ngoja niwatie stress mimi nilianza kujenga nikiwa na miaka 23.
 
Kwahiyo unaita ndugu zako kunguni
wakati hao ndio wataandaa ratiba za kukuchimbia ft 6 kwenda chini
Kuna kipindi unahitaji watu wako wa krb wakutie moyo...lkn ndio hao wanakutoa thamani na kukunyanyasa kisaikolojia...inauma sana..binadamu tumeumbwa kukumbuka...anakumbuka mateso yale na anakosa jina la kuwapa...anapunguza machungu tu.
 
Lakini mkuu hivi vimalengo sio muhimu kwani?
 
Kwamba unaweza kujikuta unaungua mara mbili Kama mkaa(porini na nyumbani, duniani na mbinguni).
 
Nipo 36, ila najihesabia niko 44 ili nipate hasira zaidi ya kutafuta.

Kiukweli hapa nilipo ni Mungu tu, zaidi ya kujibana ( sinywi pombe, sihongi sanaaaa) kiuchumi sijahustle sana kupambania maisha.

Kwa wapambanaji sky is the limit , ukisema naweza hakuna wakukuzuia labda kama unawaambia watu wasiohusika.
 
Usitishe watu. Kila jambo na wakati wake. Kila mtu mafanikio atayafikia kwa muda wake. Riziki haina umri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…