Hizo connection tupeane sote mkuuNilipokua
Nilipokua kwenye huo umri,mipango ikavurugika,nikarudi home,wa kwanza kunionesha dharau ni bi mkubwa,akawafundisha na watoto wa wadogo zangu pale home kunidharau,hakutosheka..akawa ananijengea dharau kwa watu mitaani,usiombe huo msongo wa mawazo,nikaanza kubeti nipate hela niondoke,mungu siyo benard Morrison network yangu ikalipa,kwa Sasa Nina kipato kuliko kunguni yoyote kwenye ukoo,na huwa sijui Cha kumfanya no mkubwa..Ila bado Nina grudge nae
Sasa nyinyi watoto wa kike si tunawatafutia presha zinatoka wapiDah huu umri kama hujafikia ndoto yako ni shidakuna wakat nakuwa na mawazo sana biashara haziendi ajira mtihan basi shangala bagala yan najiona 40 ileee na bado hakuna cha maana nimefanya
Watt mboga saba unaona umeyapatia maishaMaisha ya dunia yakikuchapa mpaka umri huo Ni Bora kuanza kuwekeza kumjua mungu wako na kuitafuta pepo.
Sio pote pote ushindwe.
Ushindwe duniani na ushindwe kuu-wona ufalme wa mungu.
Japo swala la kutoka kimaisha halina umri Wala nini. Ni muda wowote tu haijalishi
CityKwahiyo unaita ndugu zako kunguniwakati hao ndio wataandaa ratiba za kukuchimbia ft 6 kwenda chini
Ondoa tuu hizo chuki kwa bimkubwa inawezekana asingekuonyesha hio hali usingekuwepo hapo ulipo,mama ni mamaNilipokua
Nilipokua kwenye huo umri,mipango ikavurugika,nikarudi home,wa kwanza kunionesha dharau ni bi mkubwa,akawafundisha na watoto wa wadogo zangu pale home kunidharau,hakutosheka..akawa ananijengea dharau kwa watu mitaani,usiombe huo msongo wa mawazo,nikaanza kubeti nipate hela niondoke,mungu siyo benard Morrison network yangu ikalipa,kwa Sasa Nina kipato kuliko kunguni yoyote kwenye ukoo,na huwa sijui Cha kumfanya no mkubwa..Ila bado Nina grudge nae
Nipo katika umri huo bado napambana, sijatoboa bado.( Huko nyumbani nimeacha buku tatu tu mpaka jioni wife ndo anajua atavoipangilia.Watt mboga saba unaona umeyapatia maisha
Okay mkuu nimekuelewa,ila sorry kwa comment yako iliyopita kudhani ndivyo sivyoNipo katika umri huo bado napambana, sijatoboa bado.( Huko nyumbani nimeacha buku tatu tu mpaka jioni wife ndo anajua atavoipangilia.
Ila nimeamua kuwekeza sana mbiguni
Maana sikuhizi tunakufa mapema tena vijana na angali na ndoto zetu.
Kupanga Ni kuchagua yani nikose kokote mkuu.
Just 4give her man, umeshafanikiwa,Nilipokua
Nilipokua kwenye huo umri,mipango ikavurugika,nikarudi home,wa kwanza kunionesha dharau ni bi mkubwa,akawafundisha na watoto wa wadogo zangu pale home kunidharau,hakutosheka..akawa ananijengea dharau kwa watu mitaani,usiombe huo msongo wa mawazo,nikaanza kubeti nipate hela niondoke,mungu siyo benard Morrison network yangu ikalipa,kwa Sasa Nina kipato kuliko kunguni yoyote kwenye ukoo,na huwa sijui Cha kumfanya no mkubwa..Ila bado Nina grudge nae
Kwahiyo unaita ndugu zako kunguni 😂 wakati hao ndio wataandaa ratiba za kukuchimbia ft 6 kwenda chini
Dingi ni dingi,yaani dingi ndiyo full kujali na kunipa moyo mwanaume mwenzie,nikiona upumbavu wa sijui Nani Kama mama,natukana kinoma moyoni yaani,wanawake wengi wangese Sana yaani!!..honestly simpendi,ndiyo maana sijampa binti yoyote jina lake na sitompaOndoa tuu hizo chuki kwa bimkubwa inawezekana asingekuonyesha hio hali usingekuwepo hapo ulipo,mama ni mama
Wana niliosoma nao toka msingi na kucheza nao,mpaka wale wa o&a level na chuoHizo connection tupeane sote mkuu
Neema za inchi usizifaidi peke yako
sawa mbwa endelea kulala ukija kuuzwa kwa wachina ndo utapata akili kaz yako ni kubweka sio kulala.
WaoooooooooooooòoooohNimefanikiwa kumjengea nyumba Mama yangu daresalaam japo haijaisha(finishing) ,nimejenga yangu Bado finishing japo naishi hvyo hvyo,..nna kiwanja 45×90 nimepiga msingi wa vyumba vitatu na kutengeneza shimo la choo..nna mbuzi watano,.pikipik boksa moja,laptop,mke na watoto nane..Mama tofaut tofaut..
Mungu akijalia 2025 nataka nivute nding kwa ajili ya kulia maisha...,.pia natamani Sana niwe na biashara zangu..binafsii...
Kipaji changu Ni uchoraji..na muziki...View attachment 2221591View attachment 2221592
Maisha ya mwanadamu hayana formula.....Hakuna umri ambao ni very crucial kama 30-36 yrs old.
Ni umri wa mixed feelings: Depression, Anxiety, Kujuta, Furaha, ninge zinakuwa nyingi.
Mara nyingi (sio mara zote) huu ni umri ambapo hali ulio nayo kisaikolojia, physicallity (unene, wembamba etc), kihisia na kijitihada ndio itakuwa nguzo maishani mwako hadi uzee.
Ni umri wa kujiuliza hapo ulipo ndipo ulipo taka kuwa kipindi cha ndoto, matarajio, maombi na mipango wakati una umri wa miaka 16-25.
Maswali kama
■Una mke/mme
■Umeshatoka kwa wazazi
■Umepanda cheo
■Ume/una jenga nyumba,
■Una/ume nunua gari,
■Unamiliki kiwanja
■Wazazi unawahudumia,
■Umepanda cheo
■Hali yako kifedha
■Akiba na assets
■Biashara na uwekezaji wako
■Umeacha utoto.
Ni thread ya kushare changamoto, matunda, ushauri, kuelimishana na jinsi ya ku handle huu umri kwa wale tulioteleza, kuchelewa ili tujinasue b4 its very late
Karibuni.
still you have chance mkuu.Dah huu umri kama hujafikia ndoto yako ni shidakuna wakat nakuwa na mawazo sana biashara haziendi ajira mtihan basi shangala bagala yan najiona 40 ileee na bado hakuna cha maana nimefanya