3 Idiots ya Aamir Khan

3 Idiots ya Aamir Khan

A for apple B for ball C for chair ...S for screw up hheheheh Silencer huyo .

Yule VIRUS kuna mzee mmoja nafahamiana nae ana swag na majibu kama yake vile vile copy right since that day Mimi na jamaa Fulani tukampa Nina huyu mzee VIRUS
 
Kuch kuch hotae, mpaka leo inanibamba hasa pale Kajol alipokua anaenda kumwambia Sharkhan kua anampenda halafu mchizi anamwambia wafanye practise ili akamuimbishe mtoto Tina daah hua naifeel jinsi Kajol alivyoumia siku ya kwanza nilidondosha chozi...

My Name is Khan, mzee baba alicheza sana pale nimemkumbuka na mama Jeni, kama una roho ndogo unalia.

3 Idiots, Maneno yao ndio yananibamba zaidi, mikogo ya yule jamaa aliyesema ametokea Uganda ilisikitisha Raju alikua anamsomea mtoto wa boss wake.
 
Dah nimewakumbuka akina Sunjay Dutty, San Deol (Kabangi), Amrish Puri, Priyanka Chorpa, Sunil Shetty, Ajay Devgan, Amittah Bachan walivyofanya nikapigwa bakora kila siku kisa kuiba mia mia za kibanda umiza kwa Mbuluu hapo Mbauda
 
Dah nimewakumbuka akina Sunjay Dutty, San Deol (Kabangi), Amrish Puri, Priyanka Chorpa, Sunil Shetty, Ajay Devgan, Amittah Bachan walivyofanya nikapigwa bakora kila siku kisa kuiba mia mia za kibanda umiza kwa Mbuluu hapo Mbauda
Huyo san deo nilikuwa namuelewa saana kipindi hicho asee,

Kuna movie moja alienda kituo Cha polisi alipiga saana polisi ha ha ha ha ha,. Wahindi zamani bhana
 
Aamir khan yupo njema sana.

3idiots ipo vyema.


My name is khan moja ya filamu kuitazama tena nitakuwa nafanya matumizi mabaya ya muda.

Siikubali na sitarajii kuitazama tena.

220px-My_Name_Is_Khan_film_poster.jpg
 
Aamir khan yupo njema sana.

3idiots ipo vyema.


My name is khan moja ya filamu kuitazama tena nitakuwa nafanya matumizi mabaya ya muda.

Siikubali na sitarajii kuitazame tena.

View attachment 967555
My name is khan ni moja kati ya movie mbaya zaidi kuwahi kutengenezwa duniani,nilisikia sifa zake nyingi balaa kuja kuichek aisee ni upuuzi wa kiwango cha juu sana.
 
Hatya, Khoon Bhari Maang...zilikuwa na stori nzuri sana.
Vishwatma ilikuwa na nyimbo nzuri sana, niliipenda pia kwa kuwa waliishoot Kenya..."Mimi ni mkubwa sana!"
Yeah....kumbe nawe mdau wa old hindi movie
Nazipenda sana.
Sema yule dada wa Vishwatma alikuja kufa na 18 sijui 23 yrs....niliumia sana
 
My name is khan ni moja kati ya movie mbaya zaidi kuwahi kutengenezwa duniani,nilisikia sifa zake nyingi balaa kuja kuichek aisee ni upuuzi wa kiwango cha juu sana.
Kabisa kabisa,,

Lakini ukifatilia mauzo inaonyesha ni moja ya filamu mwake ule ilipotolewa ilifanya vyema sana sana katika Mauzo.

Golden pair (Kajol & Khan).

Hii filamu kamu mtu yupo makini ataona ni ya kichovu sana na balaa zaidi uwe umesoma-soma Philosophy of Religion's.


Mara ya kwanza kuitazama ilinipa tabu kuimaliza nilijikakamua niimalize..
 
Merii nehii Papa jey chorichorii... bonge 1la movie itaften asee
 
Aamir Khan ana movie yake moja iliyouelezea ulimwengu mzima kwa masaa machache mno, ila ni movie nzuri endapo wewe ni free thinker for those limited thinker siwashauri kuangalia movie inaitwa PK its a Philososphical movie iliyojikita katika kuelezea tofauti za dini duniani ni jinsi gani hazina maana.
Hii ndio movie pekee ya wahindi niliyoielewa. Ni bonge moja ya filamu
 
My name is khan ni hewa hamna kitu
Nimekuelewa sana, inaonekana haungalii movie kwa kubahatisha, unazielewa!
Imepambwa, promotion kibao halafu kimetoka kitu cha ovyo...SRK alinidisappoint sana ktk My name Is Khan.
 
Divya Bharti.
Kifo chake kilikuwa na utata sana, pengine alijirusha au aliuawa, inasikitisha.
Nilimpenda sana ktk Vishwatma.
Mimi mdau sana wa oldies, kwa sasa napenda chache sana.
Ndio, Divya Bharti
Yeah...wapo wanaosema mumewe alimuua, japo mume anasema hakuwepo siku ya tukio/alikuwa anapanda ngazi kuelekea kwenye floor yao...mkanganyiko tu.
Mie napenda sana oldies...hizi za siku hizi mi chache sana nazipenda, japo mie sio mpenzi kabisa wa movie za kihindi ila **** baadhi napenda sana kuzitazama.
 
"one day the director of our institution called me, viru ..... i said yes sir, come here he said, i scared... " ktu kitamu sana hiki wazee a hujaona kitafute aiseeh
Yeth thaa.. hahaha, i got thcared..
 
Uko sahihi! Aamir Khan ni great thinker, philosopher and activist via his movies.

Kwa mtu asiyewajua wahindi kiundani anaweza asiielewe vyema 3 idiots. Lkn wale jamaa stereotype inawatesa sana! Watoto wanalazimishwa kusoma vitu walivyo na malengo navyo!

Kwenye PK kachambua vizuri sana suala la hizi imani zetu za kidini!

Huwa napenda movie zake.
Jana nimetizama PK....aisee....!

Ni move poa sana....very philosophical....!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom