3 Idiots ya Aamir Khan

3 Idiots ya Aamir Khan

NANI ANAHIFAHAMU HII TAMIL MOVIE..........,,,
KUNA MOVIE CLIP MOJA YA SEKUNDE 60 KIINDI IKIONYESHA .KAVULANA KAKO MSITUNI NA BABA AKE WAKITEGA MTEGO WA KUKAMATA CHUI ,GHAFLA KANATOKEA KAKIKIMBIZWA NA CHUI KAKAITA NENO LA KIINDI SIJALIPATA**** BAADAE KANAENDA KWENYE EGDE KANAJIRUSHA UKU CHUI AKIKONGWA NA GOGO LILILOTEGWA BAADA YA KUKATA KAMBA AKE NA YULE BABA AKE ZENI GOGO LINAMGONGA HUYO CHUI ANADONDOKA CHINI BAADA YA HAPO BABA AKE ANARUSHA MKUKI KWA MWANAE,NA MWANAE ANAMCHOMA CHUI ANAKUFA . .....WAKUUUU HII MOVIE NANI ANAIFAHAMU WAKUU NISAIDIENI JINA LAKE TUTANI!!!!!!!!!
hiyo inaitwa "Pulimurugan"
 
🙂🙂🙂🙂
Pengine uko sahihi au pengine hauko sahihi...!
I simply like movies, ndiyo jibu sahihi zaidi.
Naangalia movies za 1930s, 1940s, 1950s etc. na hata wazazi wangu hawakuwa wamezaliwa wakati huo!
Safi sana mkuu classic movies ni poa sana.

Mimi ni mlevi wa movies lkn movie nyingi especially upande wa hollywood za kuanzia 2010-now zimenishinda aisee,naziona hovyo hovyo.
 
Sijakuelewa hiyo mistari niliyoi_bold
Yaani mimi sio mpenzi wa hindian movie.
Nilikuwa nazipenda zamani ila kwa sasa sizipendi.
Na hata kama nazipenda, napenda hizo za zamani.
Hapo kwa * sijui niliandika nini...sikumbuki
 
Nimekuelewa sana, inaonekana haungalii movie kwa kubahatisha, unazielewa!
Imepambwa, promotion kibao halafu kimetoka kitu cha ovyo...SRK alinidisappoint sana ktk My name Is Khan.
Umeandika kwa uzuri zaidi.


Promosheni kwa sasa ndio jambo muhimu sana kwa hizi industry.


Ukongwe pia wa jina Waweza kusaidia,kutazamwa kwa sababu kacheza flani.


Mimi filamu hii My Name is Khan naipatia 0.5 out of 5.
 
Kabisa.
Zamani unaangalia movie huku unalia jinsi hisia unazozipata.
Angalau hii ya siku hizi hii bajrangi bhaijaan pale mwisho anaporudishwa kwao pale mpakani afu yule mtoto anamkimbilia pale huwa naliaga aisee...
Ushamba tu Wa kuonaTV. Ulikuwa unawasumbua
 
Bollywood-car-movies1.gif
Hawana tofauti na bongo
 
Nazikumbuka hizi movie enzi hizo ,kipindi hicho Drive in cinema.

Mohra
Baazigar
Commando
Vishwatima
Adhaa kanoon
Hatiya

NB: zingine sijui km nimepatia majina
 
movie za kihindi banaa,mtu anapigwa ngumi anarushwa juu kilomita 300,akirudi chini anapasua ukuta...,
gari liko speed 120 lakini sterling anamchomoa jambazi yeye akiwa nje.......
sterling amezungukwa na maraia kama wote,kapigwa kachoka ila mwishoni atapata hasira na kuwafua wote....
Afhadhali hizo kuliko bongo movies... jini linakodi bodaboda kumfukuza binadamu...
 
Hiyo movie naikubali sana. Yule Prof. hatari balaa ila nakushauri ujaribu kuicheki YouTube series 1 inaitwa THE GOOD DOCTOR kijana yupo field hospitali kubwa afu ni abnormal lakini ana akili balaa.
 
Nitamfikishia. Nitamwambia babu wa Jamiiforum anamsalimia
Ewaaa.... mwambie atimize majukumu yake vizuri ya kukulea wewe na wajukuu zangu. Akileta mchezo nakuchukua mwenyewe nikulee. Sipendi ujinga mwambie
 
Ewaaa.... mwambie atimize majukumu yake vizuri ya kukulea wewe na wajukuu zangu. Akileta mchezo nakuchukua mwenyewe nikulee. Sipendi ujinga mwambie
babu bwana. Kweli hutaki mchezo kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom