Mrs Van
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 7,767
- 17,800
Ukitaka nikuhadithie mwanzo mpaka mwisho naweza kuonesha naijua na nimeielewa.Duh hii utaielewa pale utakapoamua kuielewa ni hilo tu ipo kihisia na kihalisia
Ila sio my favourite
Ukitaka nikuhadithie mwanzo mpaka mwisho naweza kuonesha naijua na nimeielewa.Duh hii utaielewa pale utakapoamua kuielewa ni hilo tu ipo kihisia na kihalisia
Kuna baadhi ya movie ukiiangalia unajikuta kama upo ndni ya hiyo movie au kuna watu unawakumbuka kupitia hiyo movieUkitaka nikuhadithie mwanzo mpaka mwisho naweza kuonesha naijua na nimeielewa.
Ila sio my favourite
Ni kwako mie walaaa haijawa hivyo.Kuna baadhi ya movie ukiiangalia unajikuta kama upo ndni ya hiyo movie au kuna watu unawakumbuka kupitia hiyo movie
I know uzuri wa kitu upo machoni mwa mtuNi kwako mie walaaa haijawa hivyo.
That's itI know uzuri wa kitu upo machoni mwa mtu
Inapaswa tukubaliane kutokukubaliana
Shortly you are right and am right
apo umenena mr...jicho la tatu limefanya kaziNi kweli, SRK ndiyo King of Bollywood...
Ila Aamir Khan amekuwa mara kadhaa akijaribu kufanya vitu tofauti na wahafidhina wa Bollywood wanavyotaka na still anafakiwa...tena san! Lagaan, Ghajini, PK, 3 Idiots etc.
SRK anatumia formula zile zile zilizozoeleka, love stories etc. akifanya idea tofauti ujue kuna mwingine aliijaribu kabla.
KabisaKatika movie za kihindi ninazozienda zikiwekwa mezani 3 idiots haipo. Halafu wahindi movie zao za zamani ndio bomba sana
Yani hiyo teri meri meherbaniyan siizoei kila nikiangalia lazima nilie. Mard, andha kanoon, qayamat se qayamat tak, Khoon bharu ya Rekha yani unaangalia movie huku unalia.Kabisa
Kuna....Loha, Hatya, Term meene baniya, Disco Dancer, Dance Dance, Vishwatma, Naagin (sio hii season), Maine Pyar Kiya, Andaz, Khoon bhari maang (ya mamba) na nyingine nyingi
Zamani ndo kulikuwa na movie bhana....
Kabisa.Yani hiyo teri meri meherbaniyan siizoei kila nikiangalia lazima nilie. Mard, andha kanoon, qayamat se qayamat tak, Khoon bharu ya Rekha yani unaangalia movie huku unalia.
Siku hizi wahindi hawana story tamu kama zamani
Yes hata hiyo kweli pale mwishoni vichozi vinadondoka. Mtoto mpaka sauti ikatoka masikiniKabisa.
Zamani unaangalia movie huku unalia jinsi hisia unazozipata.
Angalau hii ya siku hizi hii bajrangi bhaijaan pale mwisho anaporudishwa kwao pale mpakani afu yule mtoto anamkimbilia pale huwa naliaga aisee...
Drishyam ni moja ya muvi inayoleta uhalisia sio zile za mangumi dishwaaa turu turu hu haa!!Kuna movie ya Salman Khan inaitwa bajranj bhaijaan ni moja kati ya emotional movies bora zaidi kuwahi kuziona bila ya kusahau ya Ajay inaitwa dryshyam zote ni za 2015
Drishyam ni moja ya muvi inayoleta uhalisia sio zile za mangumi dishwaaa turu turu hu haa!!
Jamaa amesolve crime hadi raha afu familia yake imemuua mtoto wa IGP dadeeki.
Basi umemaliza...kwenye hii movie ndio jamaa kaonesha kichwa chake halisiAamir Khan ana movie yake moja iliyouelezea ulimwengu mzima kwa masaa machache mno, ila ni movie nzuri endapo wewe ni free thinker for those limited thinker siwashauri kuangalia movie inaitwa PK its a Philososphical movie iliyojikita katika kuelezea tofauti za dini duniani ni jinsi gani hazina maana.
We acha tu.Yes hata hiyo kweli pale mwishoni vichozi vinadondoka. Mtoto mpaka sauti ikatoka masikini
Rancho alikuwa mtoto wa tajiriii lakini yule alicheza Movie nzima kama Rancho alipewa jina tuu ili asomee kwa ajili ya mtoto wa tajiri...Bado hujaielewa rancho sio kijana wa kimaskin kaiangalie tena
Anzia mwisho
Sijawah hata kuiona nlkua nabisha tuRancho alikuwa mtoto wa tajiriii lakini yule alicheza Movie nzima kama Rancho alipewa jina tuu ili asomee kwa ajili ya mtoto wa tajiri...
We mpenzi wa wahindi kama Mimi dear?!!Katika movie za kihindi ninazozienda zikiwekwa mezani 3 idiots haipo. Halafu wahindi movie zao za zamani ndio bomba sana