Choo cha public kipo mbali sana. Jaribu hapo kwenye hicho chumba ambacho ni self contained, hicho choo chake ndio kiwe public halafu self contained room kiwe kile kingine huko mwishoni.
Halafu sijaona sababu ya kuweka mlango hapo ulipopaita walkway.
Halafu chora kwenye hiyo AutoCAD kabisa kwa sababu hapo umechora kwa mkono unaweza ukaona spaces zimekaa vizuri ila ukishaweka huo mchoro kwenye hiyo program ya kuchora mara nyingi huwa haitokei kama ulivyochora kwa mkono.
# they are just my opinions mkuu. Kila la heri
Halafu sijaona sababu ya kuweka mlango hapo ulipopaita walkway.
Halafu chora kwenye hiyo AutoCAD kabisa kwa sababu hapo umechora kwa mkono unaweza ukaona spaces zimekaa vizuri ila ukishaweka huo mchoro kwenye hiyo program ya kuchora mara nyingi huwa haitokei kama ulivyochora kwa mkono.
# they are just my opinions mkuu. Kila la heri

