Vhagar
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 20,773
- 40,444
me makorido kwa kweli nayachukiaKabla haijawekwa kwa AutoCad, toa changamoto yako hapa, nini kimekosewa, nini kipo sawa...wapi parekebishwe..
View attachment 2240747
me makorido kwa kweli nayachukiaKabla haijawekwa kwa AutoCad, toa changamoto yako hapa, nini kimekosewa, nini kipo sawa...wapi parekebishwe..
View attachment 2240747
Master bedroom imejificha sana. Uzoefu wangu binafsi unanielekeza master bedroom lazima ikae sehemu ambapo unaweza kuona eneo kubwa la nyum a/uwanja wako hata kama kuna dalili ya kibaka baba ndio uchunfulie dirishani uone kwa usahihi. No bora eneo la jiko lingerudi nyuma huko Master bedroom ikae hapo.Kabla haijawekwa kwa AutoCad, toa changamoto yako hapa, nini kimekosewa, nini kipo sawa...wapi parekebishwe..
View attachment 2240747
Sijaelewa kwanini choo ya masterbr ina kijisebule chakeKabla haijawekwa kwa AutoCad, toa changamoto yako hapa, nini kimekosewa, nini kipo sawa...wapi parekebishwe..
View attachment 2240747
Master Bedroom ipo karibu na room za kawaida. Naona mwenye nyumba atakosa uhuru wa kujinafasi na mke wake akihofia watoto watasikia au mgeni anaweza wachungulia kwa kitasaKabla haijawekwa kwa AutoCad, toa changamoto yako hapa, nini kimekosewa, nini kipo sawa...wapi parekebishwe..
View attachment 2240747
Kwa mimi huwa napenda master bedroom iwe upande upepo unatokea upate hewa ya kutosha chumbani kwako baba mwenye nyumbaMaster bedroom imejificha sana. Uzoefu wangu binafsi unanielekeza master bedroom lazima ikae sehemu ambapo unaweza kuona eneo kubwa la nyum a/uwanja wako hata kama kuna dalili ya kibaka baba ndio uchunfulie dirishani uone kwa usahihi. No bora eneo la jiko lingerudi nyuma huko Master bedroom ikae hapo.
Kwa mimi huwa napenda master bedroom iwe upande upepo unatokea upate hewa ya kutosha chumbani kwako baba mwenye nyumba

Iko njemaKabla haijawekwa kwa AutoCad, toa changamoto yako hapa, nini kimekosewa, nini kipo sawa...wapi parekebishwe..
View attachment 2240747
Binafsi nimeona haya;Kabla haijawekwa kwa AutoCad, toa changamoto yako hapa, nini kimekosewa, nini kipo sawa...wapi parekebishwe..
View attachment 2240747
Kuna wakati unahitaji natural ventilationUpepo wa kutosha nunua Air condition,sio unalala dirisha wazi unakaribisha popo bawa akutamani![]()