3 Bedroom House, toa changamoto!

3 Bedroom House, toa changamoto!

Hivi kuna shida vyumba vyote kua master? Nilikua nafanya kazi ya kutengeneza domes kwa mhindi fulani nikakuta nyumba ya vyumba vinne vyote ni master. Vina closet, ukubwa sawa na bafu na choo. Kisha kuna bafu na choo kwa ambaye atakua sebuleni.

Sijakutana na nyumba nyingine ya hivyo. Kuna shida kifundi?
Gharama
 
Nimejaribu na mimi kwa kutumia archicad, mnaweza toa maoni pia.

Samahani mwanzilishi mada kwa kuvamia
IMG_20220625_210432_871.jpg
 
Nimejaribu na mimi kwa kutumia archicad, mnaweza toa maoni pia.

Samahani mwanzilishi mada kwa kuvamiaView attachment 2272073
Tubajifunza wote mkuu, its okay kuiweka hapa ili tuzidi kujifunza.

Mimi naiona iko poa, mpangilio mzuri..naona kosa moja tu la kutoweka washroom ya wapitanjia, nimeona public toilet lakini ipo mbali mno kwa mgeni wa kuja na kutoka...unless kama utajenga washroom ya nje.
 
Tubajifunza wote mkuu, its okay kuiweka hapa ili tuzidi kujifunza.

Mimi naiona iko poa, mpangilio mzuri..naona kosa moja tu la kutoweka washroom ya wapitanjia, nimeona public toilet lakini ipo mbali mno kwa mgeni wa kuja na kutoka...unless kama utajenga washroom ya nje.
Noted, ngoja nione tunaiwekaje sawa.
 
Hakuna ramani hapo ni uchafu tuu.
Ramani ya nyumba kubwa peleka wazo kwa wataalamu wakuchoree usiingilie fani za watu kabisa.
 
Hakuna ramani hapo ni uchafu tuu.
Ramani ya nyumba kubwa peleka wazo kwa wataalamu wakuchoree usiingilie fani za watu kabisa.
Positive criticism ndio nilitaka mkuu, ukisema hamna ramani toa opinion yako. Huwezi jua utaalam wangu ni nini mkuu. Nilitaka insights za watu.
 
Back
Top Bottom