DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 43,312
- 109,415
Mkuu,Ina kona nyingi kama inavyoonekana, hivyo hata kama ni kubwa bado kwa hizi kona zake nafasi ipo. Kiwanja cha 20x20 nyumba inakaa vizuri kabisa na space ya kutosha nje. Kwenye 20x20 ukijenga nyumba yenye 150m² hadi 180m² sio mbaya... unakuwa na 220m² free space, nafasi kubwa tu.
Kiwanja cha 20 kwa 20 kwa vipimo vya vyumba vyako vya futi 12 haikai Hii nyumba mkuu.
Vinginevyo labda ufanye modification za mapana na marefu ya nyumba yako mkuu.
Ndo maana nikisisitiza uweke vipimo clear kabisa ili tukushauri vizur.


