Hapo amemaanisha sitting roomNyumba ya kuishi tu kawaida inakuaje na LOUNGE?
Nb: mimi ni msukuma😎😎
Hoja nzuri mkuu, hapo inabidi mchoraji alifikirie hilo. Vyumba vya watoto visiwe karibu, ila nahisi kajaribu kutofanya milango ya vyumba kutizamana..Nimeanza kucheka kwanza....kuna mtu atasema 'chumba cha watoto wa kiume na kike visipakane na chumba chako kisitazamane na vyumba vya watoto' nawaza kwa sauti tu!
Yes, vipimo vimefichwa ila iko na vipimo vyake kabisa. Kama mtu anataka nyumba yenye space ya kutosha, mf. mtu anakuambia anataka sebule kubwa(kuanzia 30m²/ 5x6) au zaidi, master bedroom kubwa(20m² / 4x5 au zaidi).Vipimo ujaweka kote,
Kwa haraka haraka
Hii nyumba Ni kubwa mno, Kama una kiwanja Cha kidogo Unaweza kosa Hata parking.
Hiyo sitting room Ni kubwa balaa
Sasa vipimo hakuna umejuaje itakuwa kubwa kiasi cha kukosa parking? Kiwanja chake amesema size?Vipimo ujaweka kote,
Kwa haraka haraka
Hii nyumba Ni kubwa mno, Kama una kiwanja Cha kidogo Unaweza kosa Hata parking.
Hiyo sitting room Ni kubwa balaa
Simple plan ni nyumba yenye wing 3. Wing moja inabeba master bedroom pekee yake, wing moja vyumba vya watoto na family bathroom na wingi ingine jiko,sebule na dining room.Yes, vipimo vimefichwa ila iko na vipimo vyake kabisa. Kama mtu anataka nyumba yenye space ya kutosha, mf. mtu anakuambia anataka sebule kubwa(kuanzia 30m²/ 5x6) au zaidi, master bedroom kubwa(20m² / 4x5 au zaidi).
Challenge ya bugdha kwa wanaoenda public toilet kupitia mlango wa master naikubali, japo hapo ukiangalia ni watoto tu, guests wanaokuja na kusepa wana washroom yao.
Otherwise challenge accepted mkuu!
Hilo nmekuja kuliona baadae,Yes, vipimo vimefichwa ila iko na vipimo vyake kabisa. Kama mtu anataka nyumba yenye space ya kutosha, mf. mtu anakuambia anataka sebule kubwa(kuanzia 30m²/ 5x6) au zaidi, master bedroom kubwa(20m² / 4x5 au zaidi).
Challenge ya bugdha kwa wanaoenda public toilet kupitia mlango wa master naikubali, japo hapo ukiangalia ni watoto tu, guests wanaokuja na kusepa wana washroom yao.
Otherwise challenge accepted mkuu!
Ina kona nyingi kama inavyoonekana, hivyo hata kama ni kubwa bado kwa hizi kona zake nafasi ipo. Kiwanja cha 20x20 nyumba inakaa vizuri kabisa na space ya kutosha nje. Kwenye 20x20 ukijenga nyumba yenye 150m² hadi 180m² sio mbaya... unakuwa na 220m² free space, nafasi kubwa tu.Sasa vipimo hakuna umejuaje itakuwa kubwa kiasi cha kukosa parking? Kiwanja chake amesema size?
Ukiweka vipimo vyote tutapata picha kamili.Ina kona nyingi kama inavyoonekana, hivyo hata kama ni kubwa bado kwa hizi kona zake nafasi ipo. Kiwanja cha 20x20 nyumba inakaa vizuri kabisa na space ya kutosha nje. Kwenye 20x20 ukijenga nyumba yenye 150m² hadi 180m² sio mbaya... unakuwa na 220m² free space, nafasi kubwa tu.
Uko sahihi 100% mkuu, siku hizi naona watu hawapendi corridors sana ili kupunguza ukubwa wa nyumba. Mimi naona corridors ni muhimu, yaani nyumba ikikosa corridors naona haina space. Ushawahi kuiobserve hii kitu?Simple plan ni nyumba yenye wing 3. Wing moja inabeba master bedroom pekee yake, wing moja vyumba vya watoto na family bathroom na wingi ingine jiko,sebule na dining room.
Sio vizuri sana wapitaji wakienda washroom wafanye observation ya nyumba na vyumba vyako. Anakuja hadi anaondoka hajui vyumba vikoje, milango imegeukaje nk.Hilo nmekuja kuliona baadae,
Hongera Sana, Hii idea ya washroom ya wapitaji nmeipenda
Viwanja vingi vya mjini Ni 20/15.Sasa vipimo hakuna umejuaje itakuwa kubwa kiasi cha kukosa parking? Kiwanja chake amesema size?