Innocizy
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 1,736
- 1,056
Kwenye PB Mahone na yule nigga aleuliwa kwa kufungwa jiwe ndio character nnao wakubali mule.Prison break nmeipenda. Af nackia season 5 mahone hayupo
Kwenye PB Mahone na yule nigga aleuliwa kwa kufungwa jiwe ndio character nnao wakubali mule.Prison break nmeipenda. Af nackia season 5 mahone hayupo
Aache kufananisha 24 na vitu vya kijingaTengeneza Series yako ili wewe ukaokoe Jahazi!
Maandazi Kabisa.
Aisee yule nigga ana sura ya kipole ila ana hatari. Mahone alimuua kibabeKwenye PB Mahone na yule nigga aleuliwa kwa kufungwa jiwe ndio character nnao wakubali mule.
Vikings ni series nzuri sanaaaaaTenga muda angalia kwa makini sana kitu kinaitwa The Vikings ni balaa humo mzee wa kazi king's Ragnar na mzee wa kafala Frock y
Hata Damian Scott kaua baba mpaka imebidi nimuangalie kwenye Blindspot..
Scot mzee wa kazi na dawa....ukitaka kuona machozi yake ngoja mzigo wake ufe......
What about bansheeStrike Back.
What about banshee
![]()
![]()
Scot mzee wa kazi na dawa....ukitaka kuona machozi yake ngoja mzigo wake ufe......
![]()
![]()
![]()
![]()
Fala sana yule jamaa
Dar es SalaamUko wapi
Nijulishe na bei nikufuate fastaUko wapi
Mm hata siuzi. Sema kwa sasa siko Dar nipo Moro. Kuna mtu namuulizia kama Bado anayo kwenye PC yake nikuunganishe nae. Its free of charge. Masuala ya kuuziana sio. Ila kwake nadhani itakua inaishia season 8 au 9 but utakuwa umesogea Sana na utakua umepata hizo.Nijulishe na bei nikufuate fasta
unless uwe na flash ya GB 30+Mbona nitakushukuru saana..hiyo 24 ilikwisha nifanya nikakesha kama mara mbili hiviMm hata siuzi. Sema kwa sasa siko Dar nipo Moro. Kuna mtu namuulizia kama Bado anayo kwenye PC yake nikuunganishe nae. Its free of charge. Masuala ya kuuziana sio. Ila kwake nadhani itakua inaishia season 8 au 9 but utakuwa umesogea Sana na utakua umepata hizo.
Ila usiende na flash Bali beba external kabisa maana mzigo una Kama GB 27![]()
![]()
unless uwe na flash ya GB 30+
Sisi wengine hadi makazini tuliwahi weka visingizioMbona nitakushukuru saana..hiyo 24 ilikwisha nifanya nikakesha kama mara mbili hivi