24 series na prison break ipi kali?

24 series na prison break ipi kali?

Wacha nitoke nikaitafute mkuu maana umenihamasisha vilivyo
Unaitaftia wapi sasa badala ya kushusha wewe mwenyewe mtandaoni. Koz ni ongoing season sidhani kama wale wazee wa CD watakua washaiweka kwa CD
 
24 hours ipo juu


Ila namimi nashindwa kujua ipi bora kati ya 24 hours na NIKITA
 
Hebu tulia mkuu...ukitaka kujua tunafatilia series nenda kwenye uzi special for series...
Hapa mada ilikua prison break vs 24.
Sasa ukaona GOT na vikings ni vitu Mpya kwamba hatujaziona na kufatilia sio? Then lazima Kama unafatilia hzi mambo ujue kitu inaitwa genre. GOT n vikings Sawa zina action ila ni historical drama.
Kuna series wametoa leo marvel inaitwa "iron fist" unaijua Kama imetoka?




Hatukurupuki tunaenda kwa muongozo wa mada.
sasa nan anakurupuka nmesema hvyo ktokana na comment za wadau humu ooh me prisonbreak ndo series yangu kali hakna nyingine tena kama hyo mwingne anasema 24 cjui cjawahi ona zingine zote ni copy na paste, so alaf seri game GOT ndo series yenye rating kubwa duniani kuhusu series mpya hapa ndo kiwanda hata ikitoka now ndani ya nusu saa itakuwa mikonon mwangu
 
Yaa Prison break naikubali ila Tyrant & Strike back n habari ya mjini
Unajua series kama strick back yaan inatukio moja moja ambalo likienda kumalizwa mchezo umeisha,inakuja episode nyingine,,sas 24 msala mwanzo mwisho,anatafutwa adui kuanzia episode ya kwanza,,mikiki mikiki yte kuanzia usaliti ndani mpka wanakuja kumalizana nae,,,mi series km kila eoisode inastory yake sipend sana
 
Okey. Kwakua unaangalia redemption basi imalizie. Then Kama utaweza rudia season 5 ambapo jack yupo in hiding living under fake identity halafu anaona news president wake kipenzi kawa shot dead.
Huo msako wake.
Naipenda ile jack yupo china kafichwa kwa miaka miwili hajazungumza lolote pamoja na kupewa kipondo kila day,,,baadae wanafanya mabadilishano baada ya mambo kuwaendea magumu wanamwita jack aje alisababishe,,,yes inaitwa live for nothing or die for something..kama sijakosea... Acha ile kitu bhana yaan 24 ni sawa na mess kila siku wanamfananisha mara pele,mara maradona,mara cjui nani,,, KWA HESHIMA NA TAADHIMA, HAKUNA KAMA 24 KWA KARNE ILIYOANZA 2000 MPKA LEO HII,,,BADO SANA WA KUIFUNIKA ILE KITU[/]
 
achana na 24 aseee...
inafuatiwa na show ya kibabe inaitwa Game of Thrones ikifuatiwa na Series moja matata sana ya kikorea inaitwa Dae Joyoung...

halafu ndio prison break.
umenikuna kwenye game of thrones ni kali sana,hivi inaishia ngapi maana nmetazama mpaka 5
 
Hebu tulia mkuu...ukitaka kujua tunafatilia series nenda kwenye uzi special for series...
Hapa mada ilikua prison break vs 24.
Sasa ukaona GOT na vikings ni vitu Mpya kwamba hatujaziona na kufatilia sio? Then lazima Kama unafatilia hzi mambo ujue kitu inaitwa genre. GOT n vikings Sawa zina action ila ni historical drama.
Kuna series wametoa leo marvel inaitwa "iron fist" unaijua Kama imetoka?




Hatukurupuki tunaenda kwa muongozo wa mada.
Asanteh kwa kufafanua kwa mapana zaidi,
 
Unaitaftia wapi sasa badala ya kushusha wewe mwenyewe mtandaoni. Koz ni ongoing season sidhani kama wale wazee wa CD watakua washaiweka kwa CD
Kuna sehemu moja hapa kaloleni msikitini wakazi wa arusha wanapajua jamaa wapo vzr ni kitendo cha kwenda na flash tuu jamaa wapo vzr sana
 
I can't imagine John Porter asingekufa kwenye ile season 1. Nahisi kwenye list ya series bora ingekua hivi

1. Strike back
2. Strike back
3. Strike back
4. Strike back
.
.
.
.
.
.
.
.
.
Others

Hata Damian Scott kaua baba mpaka imebidi nimuangalie kwenye Blindspot..
 
Naipenda ile jack yupo china kafichwa kwa miaka miwili hajazungumza lolote pamoja na kupewa kipondo kila day,,,baadae wanafanya mabadilishano baada ya mambo kuwaendea magumu wanamwita jack aje alisababishe,,,yes inaitwa live for nothing or die for something..kama sijakosea... Acha ile kitu bhana yaan 24 ni sawa na mess kila siku wanamfananisha mara pele,mara maradona,mara cjui nani,,, KWA HESHIMA NA TAADHIMA, HAKUNA KAMA 24 KWA KARNE ILIYOANZA 2000 MPKA LEO HII,,,BADO SANA WA KUIFUNIKA ILE KITU[/]
Ile alikua anatolewa ili kuexchange deal na terrorist wasifanye attack on US soil. Jack akaridhia kufa...anashangaa terrorist wanasema plan za kulipua ziendelee..acha asababishe mambo.

Ile alipomuua mtu kwa kumng'ata mm ndio iliniacha hoi
 
Kwa mtu anayeangalia movies na kuzielewa huwezi fananisha 24 na prison break. 24 ni action movie ambayo imebeba uhalisia wa maisha ya visa na mikasa katika Serikali nyingi duniani. Yale ni maisha ambayo watu wanaishi uzalendo na usaliti kuanzia ndani ya ofisi hadi nje. Jinsi vita zinavyotengenezwa kimagumashi ili watu wapige dili kubwa kubwa through war. 24 hata unapoangalia kila kitu unaona kinawezekana in real life fiction zipo chache sana. 24 ni series bora kabisa kwangu kuwahi kutokea, HASA SEASON 5 wacha kabisa yaani Rais ndio first enemy of the country.
 
Kwa mtu anayeangalia movies na kuzielewa huwezi fananisha 24 na prison break. 24 ni action movie ambayo imebeba uhalisia wa maisha ya visa na mikasa katika Serikali nyingi duniani. Yale ni maisha ambayo watu wanaishi uzalendo na usaliti kuanzia ndani ya ofisi hadi nje. Jinsi vita zinavyotengenezwa kimagumashi ili watu wapige dili kubwa kubwa through war. 24 hata unapoangalia kila kitu unaona kinawezekana in real life fiction zipo chache sana. 24 ni series bora kabisa kwangu kuwahi kutokea, HASA SEASON 5 wacha kabisa yaani Rais ndio first enemy of the country.
Logan hahaha... Mbona hapo mwisho umesisitiza mzee
 
Back
Top Bottom