Mi mi
JF-Expert Member
- Jul 14, 2024
- 6,344
- 12,558
Hatimaye hater la Messi la muda mrefu leo una tafrijašThe one who laughs later laughs better
Hatimaye hater la Messi la muda mrefu leo una tafrijašThe one who laughs later laughs better
Lapulga akicheza dhidi ya AlgeriaWe jamaa bhana...
Haishangazi na sio jipya...
Hata Mbape mwaka 2018 ilikuwa hivyo...
Limeshavuka šNaomba Mungu iwe hivi aisee , bila shaka Argentina ata chukua
Tupe na za wachezaji wa Barcelona leoMessi stats against Spain
0 goal
0 assist
0 shot
Na hizi ni stats za refa
0 goal
0 assist
0 shot
Conclusion: Messi hakuwa na filimbi leo na hicho ndio kitu pekee kinacho mtofautisha yeye na mwenzie
Timu ilionekana toka mechi dhidi ya austria ukajua tuu spain au france ndio wachukua ndooo.daaaaaah nipeni maua yangu jamani kila nilichotabiri humu kimetokea
Raha ya movie jambazi ife mwishoniHatimaye hater la Messi la muda mrefu leo una tafrijaš
..Zamu yenu kufanya niniWatoto wa malikia zamu yetu mwaka huu
Haha mkuu una rangi nyingi kuliko kuliko kinyongadaaaaaah nipeni maua yangu jamani kila nilichotabiri humu kimetokea
Teh teh š š .... Uchawi huuHaki ya Mungu leo nimefurahi
View attachment 3633041
Tuzo tatu za motoHuyo MbappƩ ondoa kwenye hiyo list hastahili kamaliza msimu trophyless
Hii kujipa moyo sasa š¹Gen Z wa BarƧa kaifanya Spain ichukue ubingwa. Hii ni shangwe kwa mashabiki wa Messi na BarƧa
Yamal katangulia kubeba WC kabla ya Ronaldo
Wachezaji 8 wa BarƧa waliokuwa kenye kikosi cha Spain wamebeba WC
Visca el BarƧa i Visca Catalunya!
Wamefika kihuni huni tu na uhuni wao umewagharimu leo nafikiri umeona tena na Paredes angekula moto na yeye.Mbona wamefika fainali kama hawachezi mpira ?..
Tulia wewe usiniharibie sherehe.Tupe na za wachezaji wa Barcelona leo
Easiest bracket, mechi ngumu ya Kwanza Ya Argentina ni nusu fainali, hawajakutana na mkubwa yoyote kabla ya hapo.Mbona wamefika fainali kama hawachezi mpira ?..
Tupe vigezo vyakoMbappe au Kane.
Uchawi??Teh teh š š .... Uchawi huu
Aaaa wapi.Hii game tuone matuta tu. Itakuwa imebalance kabisa