Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 52,921
- 131,699
Raha ya movie jambazi ife mwishoniHatimaye hater la Messi la muda mrefu leo una tafrijaš
Raha ya movie jambazi ife mwishoniHatimaye hater la Messi la muda mrefu leo una tafrijaš
..Zamu yenu kufanya niniWatoto wa malikia zamu yetu mwaka huu
Haha mkuu una rangi nyingi kuliko kuliko kinyongadaaaaaah nipeni maua yangu jamani kila nilichotabiri humu kimetokea
Teh teh š š .... Uchawi huuHaki ya Mungu leo nimefurahi
View attachment 3633041
Tuzo tatu za motoHuyo MbappƩ ondoa kwenye hiyo list hastahili kamaliza msimu trophyless
Hii kujipa moyo sasa š¹Gen Z wa BarƧa kaifanya Spain ichukue ubingwa. Hii ni shangwe kwa mashabiki wa Messi na BarƧa
Yamal katangulia kubeba WC kabla ya Ronaldo
Wachezaji 8 wa BarƧa waliokuwa kenye kikosi cha Spain wamebeba WC
Visca el BarƧa i Visca Catalunya!
Wamefika kihuni huni tu na uhuni wao umewagharimu leo nafikiri umeona tena na Paredes angekula moto na yeye.Mbona wamefika fainali kama hawachezi mpira ?..
Tulia wewe usiniharibie sherehe.Tupe na za wachezaji wa Barcelona leo
Easiest bracket, mechi ngumu ya Kwanza Ya Argentina ni nusu fainali, hawajakutana na mkubwa yoyote kabla ya hapo.Mbona wamefika fainali kama hawachezi mpira ?..
Tupe vigezo vyakoMbappe au Kane.
Uchawi??Teh teh š š .... Uchawi huu
Aaaa wapi.Hii game tuone matuta tu. Itakuwa imebalance kabisa
..una maana gnYamal Worldcup 1
Mbappe 1
Messi 1
Rodri 1
2013 Ronaldo alibeba makombe mangapi ?Huyo MbappƩ ondoa kwenye hiyo list hastahili kamaliza msimu trophyless
Refarii kimeoNgoja VAR iamue
Kila mchezaji mkubwa duniani ana kombe la dunia kuanzia akina Pele, Maradona, Zidane, Ronaldo OG, Messi n.kHii kujipa moyo sasa š¹
Hapo mashabiki wa andunje wanafurahi vipi wakati mbuzi wao kanyolewa ndevu?