Kweli kabisa
Hii fedheha aisee Kuna wengine wanstafu bila hata fainalYamin Yamal at the age 19 anakuwa bingwa wa dunia.
daaaaaah nipeni maua yangu jamani kila nilichotabiri humu kimetokeaKila mtu anaona kwamba Argentina anaenda kubeba kombe leo mimi kama kawaida yangu hua sishabikii kitu kinachoshabikiwa na wengi. kwa facts nilizotoa kwenye post zilizopita naamini leo bingwa Spain. Let see
Hujanizidiii mkuu achatuNimefurahi sana
Kabisa jamaa kuwafunga inabidi ufanye kazi kweli maana kwa asilimia kubwa mpira wanakuwa nao wao mechi nzima.Wana rekodi moja kali sana kwenye kuzuia. Nakumbuka mechi yao ya kwanza wanashambulia vibaya wameenda na utaratibu wao huo wa ushindi mwembamba na kutofungwa.