Meja Jenerali Isamuhyo
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 3,507
- 10,409
Wewe mthenge kumaninadaaaaaah nipeni maua yangu jamani kila nilichotabiri humu kimetokea
Wewe mthenge kumaninadaaaaaah nipeni maua yangu jamani kila nilichotabiri humu kimetokea
Mi nilitabiri ft drwdaaaaaah nipeni maua yangu jamani kila nilichotabiri humu kimetokea
Parades kamkaba Gavi kama mtoto wakeArgentina acheni vurugu.
Ebo
Gen Z wa Barça kaifanya Spain ichukue ubingwa. Hii ni shangwe kwa mashabiki wa Messi na BarçaMkiambiwa huu ni ulimwengu wa Gen Z muwe mnaelewa team andunje 😹
Bado CCM nao ipo siku wataachia chuma zitafungwa..!! 😹
😂😂😂 Leo najua mkuu una furaha sana aiseeGive me a penalty or I'll retire
View attachment 3633052
Yaani Ronaldo anazidiwa WC hadi na YANINI JAMANIGen Z wa Barça kaifanya Spain ichukue ubingwa. Hii ni shangwe kwa mashabiki wa Messi na Barça
Yamal katangulia kubeba WC kabla ya Ronaldo
Wachezaji 8 wa Barça waliokuwa kenye kikosi cha Spain wamebeba WC
Visca el Barça i Visca Catalunya!
Mbappe au Kane.Balon dior tunampa nani yamal au ndembele
ila fresh ronado anarudi tena 2030 akiwa na miaka 45 lazima abebe kombeGen Z wa Barça kaifanya Spain ichukue ubingwa. Hii ni shangwe kwa mashabiki wa Messi na Barça
Yamal katangulia kubeba WC kabla ya Ronaldo
Wachezaji 8 wa Barça waliokuwa kenye kikosi cha Spain wamebeba WC
Visca el Barça i Visca Catalunya!
Baba mipenati ya Bure
..bingwa wa ndondo cupFrance bingwa. Bookmark this.
We jamaa bhana...Give me a penalty or I'll retire
View attachment 3633052
Haishangazi na sio jipya...Yamin Yamal at the age 19 anakuwa bingwa wa dunia.
😂😂😂😂Kwakuwa tumeanza extra time, acha kichafuke tuone namna gani tunaenda kubeba taji
Ooh kumbe mambo yenyewe ndo yapo hivyo?Wangeshinda tungesikia ,Rais wao ni myahudi 😅😅😅 Argentina anamuunga mkono Israel kwa hiyo kabarikiwa ..
Naona post zimezimwa mpaka sasa 😅😅😅Walishaanza leo wanasapot Argentina mayahudi wote.