2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Kila mchezaji mkubwa duniani ana kombe la dunia kuanzia akina Pele, Maradona, Zidane, Ronaldo OG, Messi n.k

Tuwekee picha ya Penaldo akiwa na kombe la dunia hapa.
Mimi sio team Ronaldo nilikuwa zangu kwa ufaransa na Spain, kwa mbappe na Yamal hiyo labda uwaulize wenye chezaji lao.. 😹😹
 
Trump aje atusaidie pia huku Malawi
Kuwakabidhi kombe GenZ na kuwanyang'anya wale vikongwe
 

Attachments

  • PXL_20260719_222744791.MP.jpg
    PXL_20260719_222744791.MP.jpg
    1.3 MB · Views: 8
Ila Barcelona ina mchango mkubwa sana juu ya hatma ya Timu ya Spain. Vijana ni talented vibaya mno, halafu umri ni mdogo kabisa.

Kwa namna wanavyocheza pamoja na wastani wa umri wao, wanaweza kudominate kwa muda mrefu sana soka la ulimwengu
 
Back
Top Bottom