comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 8,493
- 17,406
🤣🤣 Sasa si lazima amlipe Messi au45? Atafika hana shati mkuu
🤣🤣 Sasa si lazima amlipe Messi au45? Atafika hana shati mkuu
Haters wa Mbuzi Leo mtapata usingizi...😃😃😃Hatimaye hater la Messi la muda mrefu leo una tafrija😃
Potelea mbali..ww ndio binti msumi wa uzi huu
Imeniuma si kidogo , ila ilikua iwe hivyo aisee Spain walikua wameandikiwaLimeshavuka 😂
Hata 2010 wachezaji wengi walitoka Barca, ubora wa Spain unategemea sana BarcelonaIla Barcelona ina mchango mkubwa sana juu ya hatma ya Timu ya Spain. Vijana ni talented vibaya mno, halafu umri ni mdogo kabisa.
Kwa namna wanavyocheza pamoja na wastani wa umri wao, wanaweza kudominate kwa muda mrefu sana soka la ulimwengu
Kwani kasema anamdai? Messi yeye kasamehe hataki kulipwa. Penaldo yeye astaafu kwa amani kabisa🤣🤣 Sasa si lazima amlipe Messi au
Basi mjadala wa goat ni nani umefungwa rasmiKwani kasema anamdai? Messi yeye kasamehe hataki kulipwa. Penaldo yeye astaafu kwa amani kabisa