Meja Jenerali Isamuhyo
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 3,444
- 10,272
..una maana gnYamal Worldcup 1
Mbappe 1
Messi 1
Rodri 1
..una maana gnYamal Worldcup 1
Mbappe 1
Messi 1
Rodri 1
2013 Ronaldo alibeba makombe mangapi ?Huyo Mbappé ondoa kwenye hiyo list hastahili kamaliza msimu trophyless
Refarii kimeoNgoja VAR iamue
Kila mchezaji mkubwa duniani ana kombe la dunia kuanzia akina Pele, Maradona, Zidane, Ronaldo OG, Messi n.kHii kujipa moyo sasa 😹
Hapo mashabiki wa andunje wanafurahi vipi wakati mbuzi wao kanyolewa ndevu?
Mumkande🤣🤣🤣🤣🤣Refa bora ungewapa hili goal wasijesema tumebebwa na FIFA ili tuwakande vzr.
Mbuzi Messi alishashinda Kila kitu hana alichobakiza.Nilisema mimi Janjajanja zina mwisho😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
2022 mmeshinda Kwa Janja
Mbeleko ishachanika Ile😹😹😹😹
Ni kweli…tusiokuwa na timu tumeinjoi mno kombe la dunia hii
Hata hizo 6.8 wamempa.The world will never forget how Cucurella pocketed Messi in the World Cup final View attachment 3633080
Wana kizazi bora sana cha Mpira wa miguu kwa Sasa (kama cha mwaka 2010)...Wana rekodi moja kali sana kwenye kuzuia. Nakumbuka mechi yao ya kwanza wanashambulia vibaya wameenda na utaratibu wao huo wa ushindi mwembamba na kutofungwa.
Lile la 2022Mbuzi Messi alishashinda Kila kitu hana alichobakiza.
Hii ilikuwa ni nyongeza tu..,.
Wachezaji waliopata kombe..una maana gn