Meja Jenerali Isamuhyo
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 3,444
- 10,272
..bingwa wa ndondo cupFrance bingwa. Bookmark this.
..bingwa wa ndondo cupFrance bingwa. Bookmark this.
We jamaa bhana...Give me a penalty or I'll retire
View attachment 3633052
Haishangazi na sio jipya...Yamin Yamal at the age 19 anakuwa bingwa wa dunia.
😂😂😂😂Kwakuwa tumeanza extra time, acha kichafuke tuone namna gani tunaenda kubeba taji
Ooh kumbe mambo yenyewe ndo yapo hivyo?Wangeshinda tungesikia ,Rais wao ni myahudi 😅😅😅 Argentina anamuunga mkono Israel kwa hiyo kabarikiwa ..
Naona post zimezimwa mpaka sasa 😅😅😅Walishaanza leo wanasapot Argentina mayahudi wote.
Wale watoto ni nyoko aisee.. zinapigwa one two hadi unajiuliza mbona adabu hawana? Au kwao hamna wakubwaJanjajanja fc
Mmefedheheka sana
Bebwabebwa FC
Ona Gen Z wanavyodhalilisha vikongweee 😂😂😂😂😂
DaaahHatimae mbeleko imechanika
Yamal>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>PenaldoGen Z wa Barça kaifanya Spain ichukue ubingwa. Hii ni shangwe kwa mashabiki wa Messi na Barça
Yamal katangulia kubeba WC kabla ya Ronaldo
Wachezaji 8 wa Barça waliokuwa kenye kikosi cha Spain wamebeba WC
Visca el Barça i Visca Catalunya!
PENaldo??Yamal Worldcup 1
Mbappe 1
Messi 1
Rodri 1
Uende na nani?Vamos Argentina.
Twende kazi wanangu.
Huyo Mbappé ondoa kwenye hiyo list hastahili kamaliza msimu trophylessMbappe au Kane.
2030 anarudi akiwa na miaka 45 lazima abebePENaldo??
Mbona wamefika fainali kama hawachezi mpira ?..Parades chezaji jinga sana,Argentina wamejaa wahuni wahuni ukimuondoa Messi hayachezi mpira bali upumbavu wa kurukiana mwilini tu.