cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 115,225
- 185,472
Nimehuzunika Italy kutokuwepo, daah.Kwa africa nipo Tunisia, kwa dunia naanza na Germany kisha Brazil na mwisho kwa malkia. Ufaransa japo wanapewa chapuo la kunyakua ubingwa ila siko pamoja nao. Ila laiti timu yangu ingekuwepo ningeishabikia Italia.