Kamaliza nafasi za subToa Julian Alvarez weka kiungo, mbele abaki Messi peke yake.
Ila sio mbaya ronado nae atashinda kombe akiwa na miaka 45 mwaka 2030 atamfikia yamal mwenye world cup 1
😂😂😂😂😂 Ndoto za Mzee ALINACHA wa ureno
Naomba Mungu iwe hivi aisee , bila shaka Argentina ata chukuaSi mshabiki wala mpenzi wa mpira ila kombe halita vuka Amerika kwenda bara lolote .
Hii comment iwe rejea.
Kaenda jangwani kuchimba dawaHivi Messi yumo uwanjani au..
Hivi Messi yumo uwanjani au..
Hujanielewa sema basi tuendelee kuangalia mpiraJamaa huko nyuma alishapigwa njano kwa hiyo hata angepigwa njano nyingine tayari angetolewa nje mkuu !! Uhalisia Spain wamepata nafasi nyingi sana
Mzee wa magumash😂😂😂😂😂 Ndoto za Mzee ALINACHA wa ureno
Utamuona muda analibusu kombe mkuu usijali
Tuko pamoja sana🔥🔥Utamuona muda analibusu kombe mkuu usijali
Am back fcMzee wa magumash