Andromeda Galaxy
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 8,300
- 13,202
Kaona red haipo mbali kaona isiwe kesiLisandro jau kweli na mimi nimeona kaamua kukwepa aibu bora ajifanye kaumia.. 😹
Kaona red haipo mbali kaona isiwe kesiLisandro jau kweli na mimi nimeona kaamua kukwepa aibu bora ajifanye kaumia.. 😹
Kwavile spain nao hawajui kuusoma mchezo ??? 😄😄😂😂Sawa tunajua Argentina wanaanza kucheza kuanzia dk 75.
Hatuna presha bro😂
Babu wa Kireno ni legend tayari 😂Naomba Argentina ifungwe ili na mashabiki wa kireno wapate faraja mana mtu wao anastaafu bila hata fainal ya wc
Hizi spana zako kwa messi nazikubali [emoji28]Anacheza kamzidi hadi Messi [emoji81]
Mi leo naangalia tu kiuno cha Shakira. Shakira akinipa haki ya nani sigusi tena mdada mwingine mpaka kifo.Leo Messi anastaafishwa rasmi na kinyago alichokichonga mwenyewe 😹
Mpaji Mungu japo France tumetolewa lakini tuko Spain au sio?
Wafuasi wa Ronaldo ni kama wametolewa ubongo, watu waliosomea ualimu wanaita TABULA RASA aka Empty set.. FIKAJAPO NAFIMO.Ni kama kawachukua msukule, ni kama wafuasi wa mwamposa
Na Shakira ni millenia 😄😄Shakira ni mtihani
Presha ipo juu mkuu ?😃Hii mechi dawa yake unalewa halafu unalala,
Asubuhi ndio unaangalia matokeo bila wasi wasi wowote ule.
Dogo anajua mwamba ni RonaldoHuyo dogo ana balaa
Hakucheza hivyo alipokutana na Ronaldo
Dogo anaoenekana kumuheshimu sana Ronaldo kuliko Messi
Ni kama ana hasira binafsi huwenda kile kipindi Messi anamuogesha kwenye beseni inaonekana alitumia sabuni ya magadi.
Na hicho kitu dogo ni kama hakupenda , Messi alijua dogo hajui kumbe dogo aliweka kifuani tangu siku ile ili aje alipe leo.
😹😹😹Hizi spana zako kwa messi nazikubali [emoji28]
Haja complete game yake, Kuna kitu kimoja kimemisi ili kufika level za messiBabu wa Kireno ni legend tayari 😂
Akili za kibongo hizi😃Burna boy anashindwaje kushika kiuona cha Shakira?
Wallah, loyalty yao imezidi kiwango, hata uwaletee takwimu wao wanaishia kukujibu na emoji za mbuzi tu 🐐😂Ni kama kawachukua msukule, ni kama wafuasi wa mwamposa
Hili zee lina gundu sana na worldcup aisee
Haswsa😂😂Anacheza kamzidi hadi Messi 😹
😅😅😅😅😅Mi leo naangalia tu kiuno cha Shakira. Shakira akinipa haki ya nani sigusi tena mdada mwingine mpaka kifo.