Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 8,366
- 10,393
Ndo maana mimi nataka niachane na mambo ya mpiraKwa utafiti usio rasmi watu wasiojihusha na mpira wala siasa hata kama wana hela ndogo huenda wana furaha sana
Ndo maana mimi nataka niachane na mambo ya mpiraKwa utafiti usio rasmi watu wasiojihusha na mpira wala siasa hata kama wana hela ndogo huenda wana furaha sana
Pole sana 😹Jirani haya mambo ya mpira unaweza kufia juu ya kiti aisee.
😂😂😂Kwa mazingira haya ArgentFifa akishinda basi kombe la dunia la msimu huu litakuwa limechukuliwa na timu dhaifu sana
Ni ipi hiyo imekaa vibaya 😎Hii sasa imekaa vizuri 😅.
Kujipa matumaini sio mbaya 😹Messi anafunga au kutoa assist muda wowote ule
Wanatafuta namna gani wambebe hata kwa kipenati cha mchongo.
Anaangalia pattern.. huyo akiwa uwanjani tu ni tatizo muda wowote anaubadiki mchezo. Ndo maana wenzake wala hawana tatizo nae , yeye anatembea tu.😹😹😹 Messi nguvu hamna leo.
Naona anapepesuka
Pesa kidogo, presha kidogo, hili nalo ni utajiri.Kwa utafiti usio rasmi watu wasiojihusha na mpira wala siasa hata kama wana hela ndogo huenda wana furaha sana
Ukitaka uone udhaifu wa argentina omba spain apate gori alafu uone msako utakaopigwa.....timu penadol acheni makasiriko Argentina ni timu strong sanaKwa mazingira haya ArgentFifa akishinda basi kombe la dunia la msimu huu litakuwa limechukuliwa na timu dhaifu sana
Una uhakikaNdo maana mimi nataka niachane na mambo ya mpira
Tusubiri, Mimi mwenyewe sijaona kitu cha maana kutoka kwake.Leo ni kama Messi amemezwa ! Au mida yake bado ?
Yamal leo anashangza dunia subiri uone.Anaangalia pattern.. huyo akiwa uwanjani tu ni tatizo muda wowote anaubadiki mchezo. Ndo maana wenzake wala hawana tatizo nae , yeye anatembea tu.