Mkuu umeteseka sana haya mashindano😁😁Camon Spain fanyeni kitu, mbona inawezekana kabisa
Ndio kwanza dakika 3 tu.Hivi ni mimi tu naiona hii mechi kama sio fainal vile imekaa kienyeji enyeji tu
😂😂😂 Mwanangu Hadi leo hii hujakata tamaa, angalia mpira achana na hayo mambo yalishaisha pochugo alivyotoka leo angalia soccerCamon Spain fanyeni kitu, mbona inawezekana kabisa
Hata dk 10 bado😁Hivi ni mimi tu naiona hii mechi kama sio fainal vile imekaa kienyeji enyeji tu
Ana goli 1 tu mpaka sasa.Atapata goli