2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

GenZ Yamal ana jambo lake 🔥🔥🔥
Huyo dogo ana balaa

Hakucheza hivyo alipokutana na Ronaldo

Dogo anaoenekana kumuheshimu sana Ronaldo kuliko Messi

Ni kama ana hasira binafsi huwenda kile kipindi Messi anamuogesha kwenye beseni inaonekana alitumia sabuni ya magadi.

Na hicho kitu dogo ni kama hakupenda , Messi alijua dogo hajui kumbe dogo aliweka kifuani tangu siku ile ili aje alipe leo.
 
Huyo dogo ana balaa

Hakucheza hivyo alipokutana na Ronaldo

Dogo anaoenekana kumuheshimu sana Ronaldo kuliko Messi

Ni kama ana hasira binafsi huwenda kile kipindi Messi anamuogesha kwenye beseni inaonekana alitumia sabuni ya magadi.

Na hicho kitu dogo ni kama hakupenda , Messi alijua dogo hajui kumbe dogo aliweka kifuani tangu siku ile ili aje alipe leo.
Daah mkuu humkubali Messi kabisa
 
Back
Top Bottom