Kwa asilimia kubwa wanazungumza hispania ila asilimia ndogo ni kiitaliano.Sorry waargentina wana zungumza kiispanish au kiitaliano ?
GOAT leo kukutana na msjani ya upupu wacha yampalieLeo GOAT Messi tunamwomba akiingia tu second half aangalie mbinguni maana watu tunalitaka kombe.
Wanataka magoli ya kibishoo!!!Waispain wanapiga kama walevi miguu yao haina nguvu ?
Let's go 🔥
Spain ni kama vile wanawamudu Argetina...
Kwenye matuta Spain hawezi kuifunga ArgentinaSpain wafanye wafanyavyo wamalize mechi ndani ya dk tisini au mia ishirini. Ila matuta Argentina anachukua,kwenye hizi hatua Dibu hanaga masihala.
Nafasi wanapata ila sasa changamotoWanataka magoli ya kibishoo!!!
Yule jamaa kwenye mechi nne nilizo mshuduia kwenye matuta, tokea akiwa Arsenal penalty mbili zinakuwaga za kwake.Kwenye matuta Spain hawezi kuifunga Argentina
Wajinga sana hawa jamaa wanapaswa kucheza mpira mzuri sio drama zisizo na msingiSema wanetu wa Argentina wanapenda sana kununua ugomvi😃