Marcostilone
JF-Expert Member
- Jun 25, 2023
- 6,334
- 15,391
Na hapo ndipo mjadala unapoanzia na kuishia.Haja complete game yake, Kuna kitu kimoja kimemisi ili kufika level za messi
Na hapo ndipo mjadala unapoanzia na kuishia.Haja complete game yake, Kuna kitu kimoja kimemisi ili kufika level za messi
85 uhakika kwenu hasa mkiwa mnaongozwa 1😂😂Sawa tunajua Argentina wanaanza kucheza kuanzia dk 75.
Hatuna presha bro😂
Leo wengi wamekosa kichaka, maana yamal mwenye miaka 19 anaweza akabeba worldcup ambayo ronado ameshindwa kuibeba kwa miaka mingi mpaka sasa ameshazeekaWallah, loyalty yao imezidi kiwango, hata uwaletee takwimu wao wanaishia kukujibu na emoji za mbuzi tu 🐐😂
Spanish, ukitoa brazil, nchi nying za South America na mexico Spanish ndio lugha yaoSorry waargentina wana zungumza kiispanish au kiitaliano ?
Mimi huu mjadala nlishaumalza pale Qatar 2022Na hapo ndipo mjadala unapoanzia na kuishia.
Ndio maana ali define AURA kama RonaldoDogo anajua mwamba ni Ronaldo
Nalia pole nalia pole sanaTanesco wasengg sana
Hili ndilo linalowafanya wengi wawe na presha. Wazo tu kwamba anaweza kufanya hivyo linawaumiza wafuasi wa upande ule.Leo wengi wamekosa kichaka, maana yamal mwenye miaka 19 anaweza akabeba worldcup ambayo ronado ameshindwa kuibeba kwa miaka mingi mpaka sasa ameshazeeka
Polee angalia onlineTanesco wasengg sana