Mpira uishe mrudi Ulaya mnatuchosha tuUzuri leo England hawachezi game ya kujilinda sana kabisa
Akapumzike tu mechi imeshaishaUnamwona Decon Rice? Mwamba kachoka ndembendembe 😃😃😃
Kumbe ndo ulichokuwa unasubiriMbapeeeee
Mwanaume mashineeeeeeeee🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Jamaa watarudisha zoteSana
England mumeshaharibu mood yanguUnangaa game inaisha 5-4