Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 74,196
- 183,025
Sawa nmetoka nkirudi ntapiga nkutumie kuleJmn nopigie picha basi kipenzi nione hiko kichupa labda nitapata
Ngoja nije inbox
Sawa nmetoka nkirudi ntapiga nkutumie kuleJmn nopigie picha basi kipenzi nione hiko kichupa labda nitapata
Ngoja nije inbox
Ngoja tusubiri, maana utabiri Wako unaanza kutimiaIkumbukwe hii
Nusu Fainali
Spain v France
France anapita anaingia Final
....
Robo Fainali
Norway v England
England anapita
....
Argentina v Switzerland
Argentina anapita
....
Nusu Fainal
Argentina v England
Argentina anapita
....
Pay-off 3rd place
Spain v England
Winner: Spain
......
Final
Argentina v France
WC26 Winner: Argentina
Tunza kumbukumbu hii
Sio nimeanza kuandika utumbo.Umeanza kuandika utumbo, hizo nyaraka za siri ziko wapi wapi zimewekwa, wapi kasema hivyo
Mtafute mtu mwenye ngumi nzito tu, konde zito jino kule, waugulia siku chache, biz kwisha!Yes likitulia mpk unasahau
AsanteSawa nmetoka nkirudi ntapiga nkutumie kule
Wamebebwaje wakati jamaa kaleta maigizo mbele ya VAR.Hebu kaangalie mechi ya Uruguay na US Almaron mchezaji wa Paraguay alidive,mchezaji wa US akapewa yellow, baadae refa akaitwa anaangalie VAR,baada ya kujiridhisha kamfutia kadi ya njano mchezaji wa uS na akampa Almaron Yellow card.Huyu Kocha wa Argentina anajua sana. Ila wamebebwa, kwa nini waliongezewa hizi dakika ili Swis afungwe.
Spain anatimu tena uwezo wa kuitoa Ufaransa anao, mpaka sasa hamna timu inayo miliki mpira kwa kiwango kikubwa kama Spain. Spain wamekosa number, kama angekuwa na striker level za akina David Vila, Torress au Morata France sizani kama angechomoka.Nashindwa kuelewa..Nashindwa kuelewa ...Hawa spain & Argentina wanafanya kwenye hii world cup mpaka sasa
Hiii world cup imenikatili sana team zangu zote iliyojitahidi imeishia round of 16
We unalitafsir vp
Wanasukuma jahazi! Hahahahaha
😁😁😁Football ClubMbeleko fc
Tunza hii kumbukumbu vizuri usiseme sikusemaIkumbukwe hii
Nusu Fainali
Spain v France
France anapita anaingia Final
....
Robo Fainali
Norway v England
England anapita
....
Argentina v Switzerland
Argentina anapita
....
Nusu Fainal
Argentina v England
Argentina anapita
....
Pay-off 3rd place
Spain v England
Winner: Spain
......
Final
Argentina v France
WC26 Winner: Argentina
Tunza kumbukumbu hii
Obstruction 😀😆😃
Wamebebwa tena😅
Mkuu umeamka mbiombio hata mpira hauja tazama unasema mbeleko fc.
Numbisa hi👋👋👋Mkuu kwani tulilala wote mpaka useme sijatazama?