Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 36,846
- 49,276
Nusu fainali sio mbali...Nalala. Hamna timu ya kuizuia Argentina hapa. Hawa England kuna muda walikaa dakika 30 bila attempt hii second half.
Insha-Allah
Nusu fainali sio mbali...Nalala. Hamna timu ya kuizuia Argentina hapa. Hawa England kuna muda walikaa dakika 30 bila attempt hii second half.
3 Lions vs La Albiceleste...
The argie badge...
Wana bifu lao hao kuanzia mgogoro wa Falklands island Hadi goli la mkono watauana uwanjani 🤣🤣🤣3 Lions vs La Albiceleste...
The argie badge...
Three lions?Timu ninayoipenda zaidi Duniani inaenda kukutana na timu ninayoichukia zaidi Duniani. 🙏
Tutalipiwa visasi vyetu vyote.
Mkuu umeamka mbiombio hata mpira hauja tazama unasema mbeleko fc.Mbeleko fc
Wamebebwa tena😅Mbeleko fc
Niliwahi sikia piaPole kama umetoa inatosha, kwetu singida wanatibu kienyeji kwa ndulele (sijawahi ona nasikia tu) unaambiwa halitakaa liume tena.
Asante.
Jmn nopigie picha basi kipenzi nione hiko kichupa labda nitapataMamchu namie jino lilikua linanisumbua .Ilifikia hatua nilikokua naenda hukohuko ningeenda hospitali kung'oa lilikua linauma kupita maelezo. Juzikati May nilikua nasafiri nkakutana na Hawa ma agent wa kutembeza dawa stendi kwenye magari nkasema wacha ninunue nkajaribu . Mpaka dakika hiii nikama limepona haliumi hata. Dawa haina hata jina imeandikwa tu:
Ukitumia dawa hii Hung'oi jino😊
Nilichukua namba yayule agent nivorudi nkanunua tena vichupa kama vinne vya akiba japo hata kichupa kimoja hakikuisha liliacha kuuma tangu ile may mpaka saii Tungekua karibu ningekupa ukatest
Cc Smart911
Ulizia vizuri upone. Shida ya jino likishakuwa tatizo nasikia linaweza ibuka muda wowote kazi kazi.Niliwahi sikia pia
Ila sijui wanafanyaje
Yes likitulia mpk unasahauUlizia vizuri upone. Shida ya jino likishakuwa tatizo nasikia linaweza ibuka muda wowote kazi kazi.
Yaani ngoja nimchek kwanza mahondaUlizia vizuri upone. Shida ya jino likishakuwa tatizo nasikia linaweza ibuka muda wowote kazi kazi.