2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Mamchu namie jino lilikua linanisumbua .Ilifikia hatua nilikokua naenda hukohuko ningeenda hospitali kung'oa lilikua linauma kupita maelezo. Juzikati May nilikua nasafiri nkakutana na Hawa ma agent wa kutembeza dawa stendi kwenye magari nkasema wacha ninunue nkajaribu . Mpaka dakika hiii nikama limepona haliumi hata. Dawa haina hata jina imeandikwa tu:

Ukitumia dawa hii Hung'oi jino😊

Nilichukua namba yayule agent nivorudi nkanunua tena vichupa kama vinne vya akiba japo hata kichupa kimoja hakikuisha liliacha kuuma tangu ile may mpaka saii Tungekua karibu ningekupa ukatest

Cc Smart911
Jmn nopigie picha basi kipenzi nione hiko kichupa labda nitapata
Ngoja nije inbox
 
Haya mwanaume hapangiwi majukumu timu GOT leteni utetezi hapa
 

Attachments

  • FB_IMG_1783835450157.jpg
    FB_IMG_1783835450157.jpg
    51.6 KB · Views: 9
Back
Top Bottom