Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,384
- 110,089
So Goal lipi lilikuuma zaidi kati ya haya mawili???Mapenzi tumemuachia gio sie tupo na mpira umesoma vibaya Bro hujaona neno skills and tall. Not mbeleko and small
So Goal lipi lilikuuma zaidi kati ya haya mawili???Mapenzi tumemuachia gio sie tupo na mpira umesoma vibaya Bro hujaona neno skills and tall. Not mbeleko and small
So Goal lipi lilikuuma zaidi kati ya haya mawili???
View attachment 3627826
Kweli wewe ni takataka pia kashabiki uchwara ka CR7 Unaandika ujinga ukiambiwa ukweli unaleta mambo ya jinsia.Mkuu dharau pelekeaa dada zako au unganisha maza wako waambie wachome vitumbua uvae kanga zao muangalie hio kombolela.
Hunijui sikujui shostie sasa kuanza kubishana na mdada usiejua kudadavua mpira kwa ufasaha unakuja kuleta michambo ni kitu cha kukuunganisha na takataka tu
Ona mwenzio navyoinjoi...Kwani hapo alifungwa nani CR7 pekee au timu nzima? Am CR7 fan not portugal fan, alipo nipo
Bintiiiii nasubiriJmn nopigie picha basi kipenzi nione hiko kichupa labda nitapata
Ngoja nije inbox
Unaizungumzia Stars ipi..hii ya Tanzania..tuache unafiki..tulishindwaje kufika Makundi kama Congo?View attachment 3627667
Mfano ili group taifa staz tungeshindwa vipi kupita hapa. algeria tushacheza nae sana huyo tunamkazia tunachukua sare. Tunampiga jordan. Huyo austria hata akitufunga point 4 tunapita gruop stage
Nimekuja kugundua kiwango cha chuki kinavyozidi kuwa juu ndio maendeleo hatuna😀😀😀Hapa hapakuwa na kadi ila hakuna kelele
Ingekuwa mchezaji wa Argentina ndio kafanya hivi😂sukari zingekuwa juu sana plus essay za kutoshaView attachment 3627926
Are you alright bro??Swala la Argentina kubebwa lipo kibiashara zaidi.
Are you alright bro??
View attachment 3628558