Nadhani una tatizo binafsi la uelewa.Toka mwanzo niliongelea suala la hisia. Alochofanya Molina ni kurudisha Yale ambayo tayari yalishasemwa. Hakuna jipya aliloliongeza hata taarifa yake ya Leo imerudi pale pale, ila hisia zako/zenu ndio zikawatuma kama ni jambo jipya. Hakuna ambacho amesema ni kipya, ndio maana nimekuwekea Hadi media za Argentina na zenyewe zililkalia kooni hilo suala
Kuhusu FBI na Fifa, hakuna popote FBI anaweza kuionea huruma au kuogopa kuihusisha fifa mwanzoni. Punguza hisia na Yale uyatamaniyo
Ntakutaga matokeo asubuhiHii inaenda 120
Argentina hii hii iliyoteswa na Misri na Cape Verde?Nyie wajukuu wa kikongwe penaldo si mnaona hii game ya Norwei vs Ingland ashinde yeyote, kwa mpira huu hakuna wa kumzuia Argentina asicheze fainali.
Mtasema Messi 🐐 🤣 anabebwa
Umeanza kuandika utumbo, hizo nyaraka za siri ziko wapi wapi zimewekwa, wapi kasema hivyoNadhani una tatizo binafsi la uelewa.
Romain Molina hajasema kwamba yeye ndio muanzilishi wa hii kesi, sio yeye sio mimi niliyosema hivi.
Nini kinafanyika wakati huu kinachoweka utofauti na jinsi ilivyokuwa operated hicho kipindi ambacho ilianzishwa?
Kuna taarifa mpya ambazo amezipata ambazo huko nyuma hazikuwa kujulikana, na kama zilijulikana badi zilikuwa kama tetesi, saizi amepata pa kuanzia.
Ni nini hicho alichopata?
Romain Molina amefanikiwa kupata nyaraka za siri zilizovuja zinazowahusisha FIFA na AFA kuzima kesi ya unyanyasaji kwa ajili ya kulindana kwa interest za kibiashara.
Wapi hujaelewa?
Shida Argentina ikicheza huwezi jua nani mvivu au nani ana bidii. Kila mtu unaona anavyojitoa kama anakufa leo. Hizi timu nyingine wavivu unawaona, wanaopambana unawaona.Argentina hii hii iliyoteswa na Misri na Cape Verde?
Noma nanusuEnd of Second Half
1-1
Added 30minutes
Ndiyo football, sasa unataka bingwa ashinde kama rede?Argentina hii hii iliyoteswa na Misri na Cape Verde?
Dah mkuu unatizamaje ball?Shida Argentina ikicheza huwezi jua nani mvivu au nani ana bidii. Kila mtu unaona anavyojitoa kama anakufa leo. Hizi timu nyingine wavivu unawaona, wanaopambana unawaona.
Mfano hii England mpaka sasa ukiachana na Bellingham nani mwingine unaona ameonyesha jitihada kubwa?
England wamekuwa watepetevu sana. Ila Argentina anaruhusu sana magoli. Hata hii mechi yao ya saa kumi ni ngumu sana kwao.Shida Argentina ikicheza huwezi jua nani mvivu au nani ana bidii. Kila mtu unaona anavyojitoa kama anakufa leo. Hizi timu nyingine wavivu unawaona, wanaopambana unawaona.
Mfano hii England mpaka sasa ukiachana na Bellingham nani mwingine unaona ameonyesha jitihada kubwa?