Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 30,095
- 41,710
Leo ni leo....
Tumsifie na kipa Shouber kwa namana alivyoicheza ile penati na hata kufanya saves zingine za hatariiMbona hii kakosa?
Kujiangusha angusha ni kawaida kwenye AfconWakazie hapo hapo wakianza kujilaza laza..
Saivi sheria zimebadilika hivyo ukijifanya kupoteza mda refa anakushughulikia.Kipa wa misri akidaka mpira awe kama analala kizushi kamda kaende ende 😊😊😊😊😊
HahahaKuna timu inacheza pungufu ila hawajijui
Nazungumzia World cup mkuu.. hawa Egypt hata wakipita hapa mbele ya Colombia hawatoboiEgypt
Mashabiki wa yanga wasome hii 😀😀Tumsifie na kipa Shouber kwa namana alivyoicheza ile penati na hata kufanya saves zingine za hatarii
Huyu dogo baba yake Ahmed Shouber alikua kipa wa National Al Ahly. Mwaka 1985 alikua golini Uwanja wa CCM Kirumba Mwanza alipotunguliwa magoli mawili na Mtemi Ramadhani na Zamoyoni Mogella Simba iliposhinda 2-1 kwenye CCl
Argentina akitoka Fainali itakua haina amsha amsha. Do something president. AbeeeeeeegggMatajiri wa Adidas tunakikao na infantino muda huu 😡😡😡😡
Argentina anafuzu bado penalty kama mbili na red card 1
Hamtoboi😀😀Kubababakeeeeeeee goat kakosaaaaaa 🐒🐒🐒🐒🐒🐒
Hapa mimi sina kilio.Pole na wewe mkuu kilio chako hakipo mbali sana