uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 18,391
- 30,659
- Thread starter
- #12,821
Naomba clip ya goli la Egypt mkuu au umeshapost?Playmaker View attachment 3624381
Naomba clip ya goli la Egypt mkuu au umeshapost?Playmaker View attachment 3624381
Wana timu zao wanazozioneaWaarabu wanajua mpira chief usiwachukulie poa...
Tulia chief bado asubuhi kabisa...Tunaongoza wakuu
PoleMe ni Team CR7 mkuu
Jamaa ana majivuno yaani bora afunge free kicks kuliko penaltiesKiburi gani, acha kumpaka Mafuta bana, Sema tu kashindwa
Naangalia kupitia simu KakaNaomba clip ya goli la Egypt mkuu au umeshapost?
Atafanya jambo?Hata Gianni Infantino naye anaona hivyo hivyo
Mfano Uholanzi sio...Wana timu zao wanazozionea
Hapo mbele kuna De Paul na Alvarez ndio wasumbufu. Messi bado hajashika hatamu.Misri wawe makini na haka kamdudu ni hatari sana kumuacha aki dribbling mpira free na kulenga goli la kipa.
Otea otea, mpata mpatae footballMfano Uholanzi sio...
Pole na wewe mkuu kilio chako hakipo mbali sanaPole
Hili lipo wazi.Hawa Misri tunawafunga vizuri sana, hatuhitaji mashabiki dhaifu