Mr kenice
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 5,517
- 9,270
Wanapoteza japo sio kama huku.Hivi waarabu kwanin wasianze ile michezo yao ya kupoteza muda
Wanapoteza japo sio kama huku.Hivi waarabu kwanin wasianze ile michezo yao ya kupoteza muda
Kupaki basi ni risk sanaKwa namna Misri wanavyocheza ni kama vile mchezo upo dakika za majeruhi. Ni suala la muda tu goli lao watarudishiwa. Wamerudi nyuma wote huku Argentina wakishambulia mfululizo ili kuwalazimisha wafanye makosa. Yaani wanacheza kama wanavyocheza wakiwa Afrika
Taja jina waarabu gani kati ya hao wawili.Waarabu washaanza kuchoka
Muda bado mwingi... watachoshwa...
Nipo kaka nasubiri misri wasawazishiwe Nyani Ngabu atoke mafichoni aanze kutukana waafrika.Bro upo