2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Kwa namna Misri wanavyocheza ni kama vile mchezo upo dakika za majeruhi. Ni suala la muda tu goli lao watarudishiwa. Wamerudi nyuma wote huku Argentina wakishambulia mfululizo ili kuwalazimisha wafanye makosa. Yaani wanacheza kama wanavyocheza wakiwa Afrika
 
Refa Baba kasema unipe penalti 2
FB_IMG_1783444634382.jpg
 
Back
Top Bottom