2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Wazee wa mbeleko haya malizieni mechi zenu za AFCON
Heheheeeee hukosagi sababu . Afu unasema humdai kitu, tunamdai kombe la dunia
1000058401.jpg
 
Mechi zote walizokutana, Man of the match alikuwa Nuno Mendez

Mapenzi yasikufanye ushindwe kuuona huu ukweli.
ukweli upi nmeukataa hapo..?
Hakuna asiyejua ubora wa Nuno, na pia hakuna asiyejua ubora wa Yamal, s8 mchezo kazi ya watu watatu mpaka wanne ikafanywa na mtu mmoja tena kikamilifu👐👐
 
Back
Top Bottom