kazi wanayo hawa.
kazi wanayo hawa.
Kwaniniana kibarua kigumu sana
Kundi lake ni gumu kutabirika ila kama akipata sare kwa south basi uwezekano wa kuaga mashindano hatua ya makundi ni mkubwa sana labda ije kutokea tofauti ya magoli kati Czech na south koreaana kibarua kigumu sana
ndio wanaweza kuingia kwa best loserKundi lake ni gumu kutabirika ila kama akipata sare kwa south basi uwezekano wa kuaga mashindano hatua ya makundi ni mkubwa sana labda ije kutokea tofauti ya magoli kati Czech na south korea
akitembea sana ni 32.Kwanini
Hawa kazi yao ni kumzuia algeria na kumbamiza Jordan chuma nyingi tu ili ampe Austria nafasi algeria atacheza na argentina kwa nidhamu sana na kama akipoteza kwake kumbuka itabidi amuombee njaa argentina akikutana na Austria ila ikienda tofauti basi argentina na Austria wana nafasi ya kupenya katika ilo kundikazi wanayo hawa.
sahihi kabisa, Austria hawasomekiHawa kazi yao ni kumzuia algeria na kumbamiza Jordan chuma nyingi tu ili ampe Austria nafasi algeria atacheza na argentina kwa nidhamu sana na kama akipoteza kwake kumbuka itabidi amuombee njaa argentina akikutana na Austria ila ikienda tofauti basi argentina na Austria wana nafasi ya kupenya katika ilo kundi
🤣Mwanaume unashabikia brazil na israel kweli! 😄
aiseeMwanaume unashabikia brazil na israel kweli! 😄
Game ya mwisho ya kirafiki Morocco alimkazia brazil, usiwachukulie pouwa
Nnavojua Mechi za kirafiki huwa hawakazi ni tofauti na mashindano....any way pamoja kamanda wanguNilitoa hayo maoni baada ya kucheki mechi yao ya Kirafiki mkuu.
Mkuu hii ni app au web?Tunaendelea na Utabiri wa FNF hapo
Mkuu tunza na kilio cha July 18Kuna mahali nimepita leo wadau wanaamini kabisa Portugal wanabeba.
Nimecheka sana