2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

1000791104.jpg

Hii habari imeniuma sana.

Wamarekani wataharibu haya mashindano kwa kweli...
 
Hawa wamorocco wapigwe tuu wabaguzi sana wakifika ata hata robo utasikia sisi tunawakilisha waarabu
Acha chuki mwanaume, kama ubaguzi waafrika wengi tu wanawabagua timu za kaskazini kisa tu waarabu, acheni hizo. Mbona sauzi wanawaondoa wageni na wengine huwafanyia ukatili lakini timu yao ya taifa +mamelodi mnashabikia!


Argentina 💪🏽
Morocco 💪🏽
 Spain💪🏽
 
View attachment 3603025
Lakini pia, hawa jamaa wakikutana na Timu yenye defence nzuri hakuna watakapoenda.

Katika timu walizokutana nazo world cup walinzi wao walikua dhaifu? Netherlands mbele ya van dijk na wenzie, croatia mbele ya Gvadiol na wenzie, ufaransa mbele ya akina kante, je waliwezaje kuwazuia na kupata magoli hayo!
 
Sasa Morocco unadhani ni muafrica mwenzenu? Anajitanabaisha kama Muarabu na Kuna kipindi yeye na Misri Egypt waliomba kujiunga Umoja Ulaya EU wakakataliwa, eti kisa tu wapo jirani zaidi na Spain,Morocco,Italy,Gilbatar na Ugiriki
Morocco ni Muafrika atake asitake!!! Uafrika siyo kuwa na ngozi nyeusi. Uafrika ni nchi yako kuwa kwenye Bara la Afrika. Uwe na rangi Nyeusi, Bluu, Kahawia, Kijani, Pinki, Nyeupe, au yoyote ile wewe ni Muafrika.

Kuwa Mwarabu, Mbantu, Mzungu (kama wale wa Afrika Kusini, Zimbabwe, Namibia, Mozambique, Cape Verde) na wengine haibadili kuwa wewe siyo Muafrika.

Ndiyo sababu hata kucheza World Cup alishindana na mataifa mengine ya Bara la Afrika na siyo nchi za Bara jingine.
 
Morocco ni Muafrika atake asitake!!! Uafrika siyo kuwa na ngozi nyeusi. Uafrika ni nchi yako kuwa kwenye Bara la Afrika. Uwe na rangi Nyeusi, Bluu, Kahawia, Kijani, Pinki, Nyeupe, au yoyote ile wewe ni Muafrika.

Kuwa Mwarabu, Mbantu, Mzungu (kama wale wa Afrika Kusini, Zimbabwe, Namibia, Mozambique, Cape Verde) na wengine haibadili kuwa wewe siyo Muafrika.

Ndiyo sababu hata kucheza World Cup alishindana na mataifa mengine ya Bara la Afrika na siyo nchi za Bara jingine.
Sahihi kabisa.

Halafu hili jambo wala sio Wamorocco walieneza.
Mtu mmoja alijiropokea zake huko.
Lakini ikachukuliwa kama kauli ya nchi.
Sio sawa kabisa.
Ni waafrica wenzetu, wapo kwenye bara la Africa
 
Back
Top Bottom