2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

FIFA World Cup sio NBC Premier Legue mkuu. FIFA wanaenda waamuzi wanaojitambua sio hawa vikaragosi wa TFF akina Arajiga na Victor Mwandiko.
Kabisa lakini process za kuwachagua huwa zinaanzia kwa viongozi wa ndani...then CECAFA then CAF so kina Karia wanamchango mkubwa kuwatoa Waamuzi wetu wa Ndani.
 
Kama ulicheki goli la giuliano simeon mtoto wa el cholo ni bonge la goli
1000789169.jpg

Lakini pia, hawa jamaa wakikutana na Timu yenye defence nzuri hakuna watakapoenda.
 
Back
Top Bottom